Hela zimeingia February 2014 kwenye account yake. Vyombo vya habari vimeripoti NOvember 2014 jina lake, yaani miezi tisa baadaye. Utasemaje hukujua miezi yote hiyo?
Inashangaza sana! Kama ni kweli anaweza kukaa miezi tisa bila kufuatilia mwenendo wa akaunti yake ina maana ni mzembe kiasi ambacho hakustahili hata kushika wadhifa aliokuwa nao TIC!