Sakata la Escrow: limekosa mashiko tena!!

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,405
Reaction score
11,216
Ukisoma ripoti za PAC & CAG unaweza kuona jinsi wanasiasa hasa wa upinzani.kiukweli Waziri Mkuu Pinda wakomalie wajibu kwa vihoja vyao mufilisi. Endelea kuchapa kazi watu wasikubabaishe.kisa umetangaza nia ya kugombea urais 2015. Acheni wivu. Wajameni kwenye haki tuseme ukweli.
 

Pumbafu kama ninyi ndo mnaofanya nchi iendelee kuwa maskini
 

Nyambafu......
 
Hawa PAC walichemka sana uchawi wa zitto umeisha nguvu sasa.
 

Hebu nifahamishe uponzani wako wangapi katika hii kamati?
 

uko kijiweni nini wewe
 

Safi sana
 
Wizi umehalalishwa ,ila Huyo mbunge Wangu aliyetetea ufisadi mwakani kazi anayo
 
Hili suala limeshawekwa kisanii na kishabiki na mwisho maamuz ni tofaut na matarajio ya wengi
 
Thread kama hii hata ukitukana hupigwi ban, MAKALIO yako!
 

Mxyuuuu
PINDA awe RAISI na hamia Burundi
Kama uwaziri mkuu umemShinda sasa Huo uraisi utakuwaje?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…