Ukisoma ripoti za PAC & CAG unaweza kuona jinsi wanasiasa hasa wa upinzani.kiukweli Waziri Mkuu Pinda wakomalie wajibu kwa vihoja vyao mufilisi. Endelea kuchapa kazi watu wasikubabaishe.kisa umetangaza nia ya kugombea urais 2015. Acheni wivu. Wajameni kwenye haki tuseme ukweli.