Sakata la Escrow: limekosa mashiko tena!!

Andrew123

JF-Expert Member
Jun 2, 2012
6,978
8,481
Ukisoma ripoti za PAC & CAG unaweza kuona jinsi wanasiasa hasa wa upinzani.kiukweli Waziri Mkuu Pinda wakomalie wajibu kwa vihoja vyao mufilisi. Endelea kuchapa kazi watu wasikubabaishe.kisa umetangaza nia ya kugombea urais 2015. Acheni wivu. Wajameni kwenye haki tuseme ukweli.
 
Ukisoma ripoti za PAC & CAG unaweza kuona jinsi wanasiasa hasa wa upinzani.kiukweli Waziri Mkuu Pinda wakomalie wajibu kwa vihoja vyao mufilisi. Endelea kuchapa kazi watu wasikubabaishe.kisa umetangaza nia ya kugombea urais 2015. Acheni wivu. Wajameni kwenye haki tuseme ukweli.

Pumbafu kama ninyi ndo mnaofanya nchi iendelee kuwa maskini
 
Ukisoma ripoti za PAC & CAG unaweza kuona jinsi wanasiasa hasa wa upinzani.kiukweli Waziri Mkuu Pinda wakomalie wajibu kwa vihoja vyao mufilisi. Endelea kuchapa kazi watu wasikubabaishe.kisa umetangaza nia ya kugombea urais 2015. Acheni wivu. Wajameni kwenye haki tuseme ukweli.

Nyambafu......
 
Hawa PAC walichemka sana uchawi wa zitto umeisha nguvu sasa.
 
Ukisoma ripoti za PAC & CAG unaweza kuona jinsi wanasiasa hasa wa upinzani.kiukweli Waziri Mkuu Pinda wakomalie wajibu kwa vihoja vyao mufilisi. Endelea kuchapa kazi watu wasikubabaishe.kisa umetangaza nia ya kugombea urais 2015. Acheni wivu. Wajameni kwenye haki tuseme ukweli.

Hebu nifahamishe uponzani wako wangapi katika hii kamati?
 
Ukisoma ripoti za PAC & CAG unaweza kuona jinsi wanasiasa hasa wa upinzani.kiukweli Waziri Mkuu Pinda wakomalie wajibu kwa vihoja vyao mufilisi. Endelea kuchapa kazi watu wasikubabaishe.kisa umetangaza nia ya kugombea urais 2015. Acheni wivu. Wajameni kwenye haki tuseme ukweli.

uko kijiweni nini wewe
 
Ukisoma ripoti za PAC & CAG unaweza kuona jinsi wanasiasa hasa wa upinzani.kiukweli Waziri Mkuu Pinda wakomalie wajibu kwa vihoja vyao mufilisi. Endelea kuchapa kazi watu wasikubabaishe.kisa umetangaza nia ya kugombea urais 2015. Acheni wivu. Wajameni kwenye haki tuseme ukweli.

Safi sana
 
Hili suala limeshawekwa kisanii na kishabiki na mwisho maamuz ni tofaut na matarajio ya wengi
 
Ukisoma ripoti za PAC & CAG unaweza kuona jinsi wanasiasa hasa wa upinzani.kiukweli Waziri Mkuu Pinda wakomalie wajibu kwa vihoja vyao mufilisi. Endelea kuchapa kazi watu wasikubabaishe.kisa umetangaza nia ya kugombea urais 2015. Acheni wivu. Wajameni kwenye haki tuseme ukweli.

Mxyuuuu
PINDA awe RAISI na hamia Burundi
Kama uwaziri mkuu umemShinda sasa Huo uraisi utakuwaje?
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom