Wameshachora mtu kavaa kanzu anaendesha boda boda.Heheheheheh!Nasubiri "kikaragosi" watakachochora...
Wameshachora mtu kavaa kanzu anaendesha boda boda.Heheheheheh!Nasubiri "kikaragosi" watakachochora...
Muhusika ni ILUNGA period.
'tafuta padre tafuta kardinali, mchunngaji au hata mlei uuuuuuuuuuaaaaa aaaaa...!uue dhahiri ama kwa kificho'' shehe Ilunga
Uchunguzi wa kina ufanyika jamani, hii ni hatari sana. Somehow FBI wanaaminika ila report isipewe Serikali maana wataichakachua
FBI waseme Udinu maccm yaseme sio udini
Sijui dini yao lakini najua wapo na kutokana na ukubwa wao wamepewa uhuru wa kujitangazia JAMAHURI yao.Wawekezaji wa dini gani?
Wameshachora mtu kavaa kanzu anaendesha boda boda.Heheheheheh!
Wawekezaji wa dini gani?
Hipo ck mkristu atachoka kuonewa ndipo tutakumbuka ule usem usemao 'lisemwalo lipo na kama halipo bas li njin linasogea'
Hao FBI nao waangaliwe kwa umakini sana,Tembo wetu na wanyama wetu wasije wakapakiwa kwenye MADEGE yao..!!
Polen sana wahanga wananchi wenzangu...
FBI wa nini tena lakini?
Hivi sisi ni hatuwezi kabisa kufanya uchunguzi sisi wenyewe na kumkamata au kukamata waliohusika na uhalifu huo?
Tuko wa ajabu sana sisi.
Mkuu sio aibu kwani uwezo wa Polisi wetu kuchunguza mambo kama haya unaathiriwa na akina Nape na hivyo kuharibu uchunguzi. FBI wako neutral na wanafanya kazi ili kufanya dunia mahala salama kuishi.
Jeshi letu la polisi halina vifaa jamani hiyo iko very clear
FBI wa nini tena lakini?
Hivi sisi ni hatuwezi kabisa kufanya uchunguzi sisi wenyewe na kumkamata au kukamata waliohusika na uhalifu huo?
Tuko wa ajabu sana sisi.
Ccm walianzisha udini ili washinde uchaguzi wa 2010 wakijua baada ya kutumia turufu hyo wataimaliza kirahsi sasa ndo inaiharibia serikali yao
FBI wa nini tena lakini?
Hivi sisi ni hatuwezi kabisa kufanya uchunguzi sisi wenyewe na kumkamata au kukamata waliohusika na uhalifu huo?
Tuko wa ajabu sana sisi.
Hv radio Imamu ilishafungiwa au bado? Hii redio ndiyo mwanzilishi mkubwa wa uchochezi na waasisi wa misamiati ya Mfumo Kristo. Kama serikali itaendelea kuzuga na kuruka chanzo na kutibu dalili ni dhahiri 2015 kura zitapigwa kwa misingi ya dini. Bungeni jana ni wabunge wakristo tu ndo walikuwa wanalaani kwa uchungu tukio hilo huku wabunge wengi wa Kiislamu kubakia neutral.
fBI wameajiriwa na srekali gani watu wawe makini isije kuwa ni sababu ya kupoteza kodi zetu kwa move zinazochezwa na ccm
Hao FBI nao waangaliwe kwa umakini sana,Tembo wetu na wanyama wetu wasije wakapakiwa kwenye MADEGE yao..!!
Polen sana wahanga wananchi wenzangu...