That is business my friendMo Ibrahim, Chui aliyevaa ngozi ya Kondoo! Mijizi na mikwapuaji lazima ijifanye iko kwenye dini sana au kutoa misaada sana! Kama EU na USA! Wanajifanya wanatupa misaada ya kufa mtu, kumbe wanachukuwa zaidi ya mara kumi ya wanacholeta!
Wakatili sana hawa...
Lowasa alishawahi kuwa wazir wa mawasiliano? Utasema hata nyuma za umma zilizouzwa kwa vimada, vivuko vibovu na ile meli ya wachina pia ilisababishwa na lowasa.kuonesha ulivyo mbumbumbu.Wizi wa Airtel ulifanywa na Fisadi Lowasa, huyo ndiye aliyetupiga!
Raha sana kuwa Andrea Chenge ....utanshtaki lakini hutanishinda..over
Usije ukacheza dili na mwanasheria alafu ukategemea likibuma mtapata wote majangaDuh! Fisadi papa Chenge yupo kila mahali. Huyu anapona vipi kwa Mkulu au sababu ni lugha moja?
Huyo alikuwa kama flash msgkumbe Lowassa hakuwa fisadi maana kwenye mauchafu yote hajatajwa hata kidogo
Then lets not entertain this devils work...That is business my friend
Uzuri alisema I am not stupid hawezi kufanya kitu bila kujua security yake ipo wapiUsije ukacheza dili na mwanasheria alafu ukategemea likibuma mtapata wote majanga
Yes, this is by constitution of the land ...Ulishaambiwa mzee nkapa atulie ale uzee hakuna wa kumgusa halafu wewe unauliza atapona daah
Hii ni sawa na kusema mkwere hachomoi kwa ... hali hajachomeka popote
Exactly... let's go for objective.Objective hapo ni kurudisha umiliki wa TTCL kwa celtel/airtel so wakiguswa hao wazee ndio watafanikiwa?à
Mwacheni mzee wangu Mark Mwandosya apumzike.
Ni kimya kikuu kisicho na mshindo!Lakini mwisho wa haya yooooote ni nini?
Lowasa alifisadi vodacomkumbe Lowassa hakuwa fisadi maana kwenye mauchafu yote hajatajwa hata kidogo
Nilitegemea sana kuona sisi wananchi tukimsapot rais wetu maana anagusa sehemu ambazo zilikuwa haziwezi kuguswa.hakika mimi napongeza sana JPM kwa ushujaa wa pekee hakika anastahili kupongezwa na kupewa all supportJana Rais wa JMT mhe.. JPM amepigiilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Bharti Airtel kwa kumwagiiza Waziri wa Fedha kufanya uchunguzi uhamishaji wa hovyo wa hisa za TTCL toka Cellnet, Celtel, Zain na sasa Airtel!!!
Ufisadi huu ulifanyika chini ya Utawala wa A3 ya Mzee Mkapa akisaidiana na Waziri wa Mawasiliano waktii huo Mzee Mark Mwandosya,, Mwanasheria Mkuu Chenge na Jaji Warioba aliyekuwa Board Member akiiwakilish upande wa TTCL na Serikali......?!!!
Karibu tujadiili!