That is business my friendMo Ibrahim, Chui aliyevaa ngozi ya Kondoo! Mijizi na mikwapuaji lazima ijifanye iko kwenye dini sana au kutoa misaada sana! Kama EU na USA! Wanajifanya wanatupa misaada ya kufa mtu, kumbe wanachukuwa zaidi ya mara kumi ya wanacholeta!
Wakatili sana hawa...