Sajini na konstebo wa zimamoto updates

Sajini na konstebo wa zimamoto updates

Joined
May 7, 2014
Posts
23
Reaction score
2
Habari wadau,jamani mwenye tetesi juu ya hiyo sector tajwa hapo juu,naomba anijuze ni lin watatoa majina
 
Habari wadau,jamani mwenye tetesi juu ya hiyo sector tajwa hapo juu,naomba anijuze ni lin watatoa majina


Serikalini michosho mkuu mipango yao huwa haieleweki,komaa na sekta binafsi,usitegemee sana huko,one day yes.mie nilisota kama miaka mawili nahangaikia sekta binafsi, serikalini walikuwa wakitoa napotezea sababu ya ukanjanja kama huu,kazi ya siku moja inachukua mwaka,fikiria hivi haiwezekani kweli kuintavyu watu 3,000 kwa siku moja na kesho yake ukatoa majina??????Ofsni uzembe uzembe njoo kesho kibao hata kugongewa muhuri,mara lunch, niliona nitakwenda kuwa mzembe tuuuuuu,li nchi la kijinga sana hili.
 
Hivi vi kampuni vingine vingeunganishwa na majeshi yanayotambulika kikatiba kwa kuviita vikundi hivi 'majeshi' ni kuchafua taswira nzima ya majeshi, mfano hawa zimamoto hawana sheria yoyote inayowatambua kama jeshi! Lakini wanajipachika vyeo vya non commisioned officers NCO's wa jeshi mfano sgt,cpl, Huu ni ubabaishaji


aji
 
Hivi vi kampuni vingine vingeunganishwa na majeshi yanayotambulika kikatiba kwa kuviita vikundi hivi 'majeshi' ni kuchafua taswira nzima ya majeshi, mfano hawa zimamoto hawana sheria yoyote inayowatambua kama jeshi! Lakini wanajipachika vyeo vya non commisioned officers NCO's wa jeshi mfano sgt,cpl, Huu ni ubabaishaji


aji

Mkuu mtu yeyote anayepitia mafunzo ya JWTZ ni mjeda aswaaa,so ni mojwapo ya kitengo cha jeshi,na kwa intake zinazofata zote watu watakuwa wanatolewa jkt na c mtaani kama sasa
 
Lakini mkuu kumbuka kwamba kwa mujibu wa katiba majeshi ni haya yafuatayo TPDF,POLISI,MAGEREZA, na National service au jkt sasa jeshi la zimamoto na uhamiaji wanatoka wapi, hawa zimamoto na uhamiaji wanatakiwa wawe matawi ya majeshi yanayo tajwa na katiba, mfano uhamiaji wanachama chao kazini uliona wapi jeshi linakuwa na chama cha kutetea masilahi
 
Pia mkuu nisheria ipi inayo sema kwamba hawa zimamoto wa wizara ya mambo ya ndani ni tawi au kitengo cha jwtz? Labda hiyo sheria itungwe sasa hivi!
 
Pia mkuu nisheria ipi inayo sema kwamba hawa zimamoto wa wizara ya mambo ya ndani ni tawi au kitengo cha jwtz? Labda hiyo sheria itungwe sasa hivi!

We umeisha ambiwa kuwa mtu anayepiatia mafunzo ya jwtz huyo ni mjeda tosha,pia ni miongon mwa wajeda hao wote ni wizar moja tu,ndo maan likaotw jesh la zim moto,jesh la magerza,jesh la polic,na jesh la jwtz hao wot ni kitu kimoja ila kazi zao ndo tofaut tofaut
 
Pia mkuu nisheria ipi inayo sema kwamba hawa zimamoto wa wizara ya mambo ya ndani ni tawi au kitengo cha jwtz? Labda hiyo sheria itungwe sasa hivi!

Mwaka jana kuna Kanal wa TPDF alihamishiwa fire na Kamishna wa fire aliapishwa Rais, Sijui waje wenyewe waseme......!
 
Habari wadau,jamani mwenye tetesi juu ya hiyo sector tajwa hapo juu,naomba anijuze ni lin watatoa majina

Me hawa watu nimeshawachoka, Tanzania ni nchi ya ajabu sana, kila kitu kinaendeshw kwa ubabaishaj, likitokea jambo la kisiasa fedha zipo mda wote lkn maendeleo ya jamii utaambiw serikali haina fedha.
 
duh! usaili uliisha 28/4/2014 hadi leo majina bado,kweli hii ndo CCM! Bora kurudi bush wadau!
 
Back
Top Bottom