Sajili kampuni yako ndani ya mwaka 2012

Sajili kampuni yako ndani ya mwaka 2012

KAPIRIPIRI

Member
Joined
May 24, 2011
Posts
31
Reaction score
9
Zikiwa zimebaki siku chache kumaliza mwaka 2012, wasiliana na RMJ & CO. LTD ili kusajili kampuni yako kwa bei nafuu ya prpmosheni na bila usumbufu.Fika ofisini kwetu Mandela Road - Dar (Opposite na Mabibo Hostel) au piga simu: 0714 784154/0753 784154
 
Zikiwa zimebaki siku chache kumaliza mwaka 2012, wasiliana na RMJ & CO. LTD ili kusajili kampuni yako kwa bei nafuu ya prpmosheni na bila usumbufu.Fika ofisini kwetu Mandela Road - Dar (Opposite na Mabibo Hostel) au piga simu: 0714 784154/0753 784154

Kwa hiyo nyie siku hizi mmekuwa brela?
 
Ndugu CTU, nashukuru kwa udadisi wako.Sisi si Brela bali ni mawakala.Wala katika andiko langu sijasema sisi tunasajili.Kwa ufafanuzi zaidi, ukitaka kusajili kampuni kuna vitu vinahitajika ikiwa ni pamoja na Articles of Association, Memorandam na kujaza makabrasha kibao ambayo mengine yanahitaji utaalamu wa kisheria na biashara.Mara zote, makampuni ya uwakala yankuwa LINK kati ya service providers na clients.Kwa muktadha wa Bongo yawezekana husielewe ninachokisema, lakini as we advance more in business hivi vitu vitakuwa common kwa mazingira yetu.Afterall, wengi wamenufaika na huduma zetu na wanaendelea vizur na biashara zao.Badala ya mtu kutumia siku nyingi akiangaika na kurudishwa akaweke sawa hiki na kile, tunamkamilishia mahitaji na kupeleka documents zote Brela, within 7 days mtu anapata Cheti cha usajili bila hata kulazimika kusafiri hadi Dar kwa wale walioko mikoani
 
Back
Top Bottom