BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 7,969
- 20,013
Sifahamu kama aliyoyasema leo kwenye mkutano wa wazee wa dar ameandikiwa ama ameyatoa kichwani mwake?
Kwa vyovyote vile inaonekana aliyafanyia mazoezi ya siku kadhaa kabla ya kuzungumza.
Kwa sisi wenye "jicho la tatu" ni rahisi sana kubaini hofu iliyopo katika matamshi yake.
Kwa juu inaonekana kama vile anatamba kwa ujasiri, lakini kwa ndani hakuna lolote kati ya hayo.
Mjongeo wa mwili wake, kushuka na kupanda kwa sauti yake, mgongano kidogo wa matamshi, kusita sita kwa sauti na kutoa hotuba kwa namna ya kuuliza maswali kama vile "sasa mlitaka sisi tufanyeje", hayo yote yanaakisi hofu na wasiwasi mkubwa ndani mwake.
Kule kuonekana kujitutumua na kushika kiuno kunazidi kutia mashaka kuhusu ujasiri wake.
Ujasiri una sura yake. Sijaiona kwenye hotuba ile.
Labda pengine tumuombee samia. Tusali azidi kuwa na hekima zaidi. 👁
Kwa vyovyote vile inaonekana aliyafanyia mazoezi ya siku kadhaa kabla ya kuzungumza.
Kwa sisi wenye "jicho la tatu" ni rahisi sana kubaini hofu iliyopo katika matamshi yake.
Kwa juu inaonekana kama vile anatamba kwa ujasiri, lakini kwa ndani hakuna lolote kati ya hayo.
Mjongeo wa mwili wake, kushuka na kupanda kwa sauti yake, mgongano kidogo wa matamshi, kusita sita kwa sauti na kutoa hotuba kwa namna ya kuuliza maswali kama vile "sasa mlitaka sisi tufanyeje", hayo yote yanaakisi hofu na wasiwasi mkubwa ndani mwake.
Kule kuonekana kujitutumua na kushika kiuno kunazidi kutia mashaka kuhusu ujasiri wake.
Ujasiri una sura yake. Sijaiona kwenye hotuba ile.
Labda pengine tumuombee samia. Tusali azidi kuwa na hekima zaidi. 👁