Saif Al Islam Gadhafi Captured

Saif Al Islam Gadhafi Captured

Good news, let them give him some VIP treatment just like his father and call it a day.
You will be next..when they are done with him. So get your self ready for that VIP treatment.
God bless Patmos Island and USA.
 
Hivyo vidole vyake havijakatwa kweli?


Hata mimi ninawasiwasi, maana machungu waliyo nayo panya sidhani kama watamwacha bila kumtoa kiuongo hata kimoja.
Ila jamaa strategic kweli maana kama Tuareg vile. Alikuwa anawaacha hapo yupo kwenye ndege na mabegi ya USD nadhani, nafikiri kuna mnaku kamchomea utambi. Jamaa wa katikati hapo ameshikilia joho.

111119-gadhafison2-hmed-8a.grid-8x2.jpg
 
You will be next..when they are done with him. So get your self ready for that VIP treatment.
God bless Patmos Island and USA.

It is fun, when I see them fighting. What are they fighting for, :spy:, I will be right back on that. I am still waiting for that VIP treatment, it is always nice to see them getting that treat:biggrin: "the VIP" Like Father like son.
 
du.....! Huyu si ndiye yule saif islam alikuwa akiwatukana wenzake kama wanyama? Mwaka jana mda kama huo alikuwa na ndoto za kuwa president just imagine!

Leo kakatwa vidole with no future anymore, leo anaona sehemu ya kuishi vizuri sana ni mahakama ya icc! Madaraka tukiyapata tuyatumie vizuri tusiwe na viburi vya kipumbavu as if utakuwa lifetime leader.

wenye masikio na wasikie; wenye macho wajionee!
 
Du.....! Huyu si ndiye yule Saif Islam alikuwa akiwatukana wenzake kama wanyama? Mwaka jana mda kama huo alikuwa na ndoto za kuwa president just imagine!

Leo kakatwa vidole with NO future anymore, leo anaona sehemu ya kuishi vizuri sana ni mahakama ya ICC! madaraka tukiyapata tuyatumie vizuri tusiwe na viburi vya kipumbavu as if utakuwa lifetime leader.

Yaani we acha tuu, kwakweli tumuogope Mungu na tuache kunyanyasa na kuwatukana wanyonge kwasababu hasira yake ni yakuofya.
 
Hawa dawa yao kuwakata masikio na vidole, na kuchukua viberiti vya gesi na kuchoma hiyo mikono iliyo finger less. Wanasema what goes around comes around, Ukatili wa FFU na Polisi kuna siku wataulipa wote.
 
BAKWATA wana mahusiano gani na kukamatwa kwa SAIF AL-ISLAM? Mbona hoja yako imekaa kiudini na inalenga kukashifu UISLAM na WAISLAM?
Nenda BAKWATA watakupa ukweli, na usishau kuvaa kipedo.
 
BAKWATA wana mahusiano gani na kukamatwa kwa SAIF AL-ISLAM? Mbona hoja yako imekaa kiudini na inalenga kukashifu UISLAM na WAISLAM?

wengine chuki za kidini zimejaa kwenye damu wamepikwa ,wakapikika
 
You may run, but you can't hide. You will be held responsible for your crimes against the people, for taking money from the State and squandering it on luxuries, parties and lavish dinners. All the while, the people suffer while you get rich. I'm talking about our Congress; they're worse than the Qadaffis ever were, because they screwed the people by making laws to favor themselves. At least the Libyans were honest enough to just shoot people they didn't like!
 
Kumbe hakukamatwa bali yalikuwa ni makubaliano baada ya muda mrefu wa mazungumzo ya kujisalimisha kati yake na ICC. Subirini maengi yatafuatia baadaye:lol:. Vyombo vya habari vinapiga watu changa la macho tu ili kuficha ukweli wa mambo.

Mlishaona wapi mtu anakamatwa na mabegi yake, kumbukeni huko alikokuwa ni mbali sana na Zlitan wanakotoka hao rebels.
 
Before you execute (ALL), these scoundrels make sure that you have utilized every means possible to force them into disclosing where "GOOFY" hid ALL of Your/Libya's Billions !!!!!!!!!!
 
Ghadafi's chief syp captured! Good work rats for decisive victory,you have taught us a great lesson: freedom is destined to triumph every time.
 
Kumbe hakukamatwa bali yalikuwa ni makubaliano baada ya muda mrefu wa mazungumzo ya kujisalimisha kati yake na ICC. Subirini maengi yatafuatia baadaye:lol:. Vyombo vya habari vinapiga watu changa la macho tu ili kuficha ukweli wa mambo.

Mlishaona wapi mtu anakamatwa na mabegi yake, kumbukeni huko alikokuwa ni mbali sana na Zlitan wanakotoka hao rebels.

Umenena!hasa kwenye ya kukamatwa na mabegi ya suti zake za kiingereza tutakazokuja kumuona huko mbele akitinga nazo mahakamani kwa mbwembwe!ingekuwa amekamatwa na wale wahuni hayo mabegi wala tusingeyaona,si mnakumbuka siku ile walivyoingia Bab Al Aziziya "makazi ya ghaddafi pale Tripoli" walikua walivyokuwa wanagombea mpaka vikombe na birika ya kahawa,leo mabegi yale ya saif wangeyaacha kweli!
 
:smash:Hawa wamekwisha sasa. Yaani hata mku wa Usalama kakamatwa. Kwishnei wote hawa. Safi sana Libya, mwendo mdundo.:smash:
 
Back
Top Bottom