Said Mohamed Saad - Mmiliki wa Home shopping Centre, amwagiwa tindikali!


Who is Kibanda in this country?!! (George Wassira, 2013)...
 
Duuh sasa siku hizi sijui tuwe tunatembea tumevaa helmet!! Maskini sura zetu.
Dawa yake ni Sodium Hydroxide labda - kwa mawazo yangu!! Naona mbinu hizi za tindi kali zinashika kasi sana nchini, kwa nini hawaweki udhibiti wa kutosha katika manununuzi - au zinahibiwa kwenye mahabara ya Sekondari.
 

Lukolo unaongea KITOTO SANA. Think a little bit big
 
Nchi yetu pendwa ina amani, tunailinda na kuitukuza kwa njia mbalimbali.
Next to the police station!
 
ufataani hehehe afadhali mwalimu wa Kiswahili umerudi, huyu jamaa wa home shopping center atakuwa anajua siri ya maswaibu yake, ila tindikali ni noma jamani, don't wish it to anyone...
 
subiri wana lumumba team waje utasikia chadema wanahusika

wamwaga tindikali wanajulikana, tangu enzi za akina kubenea, mtoa mada anadai polisi watawashika wahusika!!!!!!!!!!!!!!!!! Mimi nakataa, polisi hawana uwezo wala utashi wa kuwatafuta! Subirini mtaona!
 
"Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga heri nife kwanini nisife maisha haya dunia sio mbaya walimwengu ndio wabaya hawakawii flani ana hiv"-sugu
 
Polisi nao wamevamiwa na wezi kwenye kituo chao Mwanza na kuibiwa laptop 2 na vielelezo.

Gongo la mboto wametekwa hapohapo kituoni kwao, wakapewa kichapo na kuswekwa lupango.. hadi huruma sasa..
 

mimi ni mwanafunzi nasoma kemia, H2CO4 ni acid gani hii? Msaada tafadhari
 
hivi tindikali ndo nini wakuu,mi nasikiaga tu chumvi miiingi maji kidogo ndo mixa yake,eti kweli eeeh?

Conc. Sulphuric Acid,Nitric Acid,Chromic Acid ni mojawapo ya strong acids. Hukunusa kabisa masomo ya sayansi maishani mkuu?
 
Kuna anaelindwa zaidi ya Rais wa USA? J. F. Kenedy kauliwa kwa risasi na ulinzi na walinzi wote aliokuwa nao, Ronald Reagan kasalimika kuuliwa lakini risasi ilimpata.

Usilete ushabik wa kinafik na kifataani wakati ukweli unaujuwa.

Wamemheshimu sana kwa kumwagia hiyo tindikali. Walipaswa WAMWOGESHE kabisa, Laana tululaiy yule!
 
mda wote unapoishi duniani lazima ujue kua binadamu ni watu wa kuishi nao vzuri usijifanye wewe ndio wewe hadi kumsahau mwenyezi mungu pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…