Said Mohamed Saad - Mmiliki wa Home shopping Centre, amwagiwa tindikali!

Watu walio karibu nae wanasema kwamba kapata madhara macho yote mawili lakini moja ndio limeharibika sehemu ya juu na atalazimika kupandikizwa sehemu nyingine nje ya nchi baada ya kuwa amepona kabisa. Taarifa zinasema hospitali imejaa jamaa sake ndani na nje kiasi cha kufanya hali ibadilike kabisa.

Mgonjwa mwenyewe anaweza kuzungumza japo hadi saa Saba usiku huu alikua amefungwa mashine sehemu ya pua Huku madaktari wakimpa huduma maalumu na hatosafirishwa hadi apone majeraha na kwamba upandikizaji umeelezwa si jambo la haraka kwa sasa.

katika hali isiyo ya kawaida, polisi wanahaha kutafuta wahusika kwa nguvu kubwa tofauti na usiku tulipokua Muhimbili alipoumizwa Kibanda, na huenda hadi kesho akakamatwa mhusika.
 
Ukweli ni kuwa jinsi Said Mahonda alivyo na kibri na dharau, amejijengea maadui wengi sana katika maisha yake.

Kuna malalamiko mengi kutoka wafanya kazi wake, wafanya biashara wenzake na hata wateja wake. Tatizo lake kubwa ni kuwa kaweka pesa mbele, na hudhani kuwa pesa ndio kila kitu.

Mnajaribu kuhalalisha ujinga; hata adui yako ana haki zake. Vinginevyo kila mtu na mbaya wake eh? Sheria ya msituni.
 
Mnajaribu kuhalalisha ujinga; hata adui yako ana haki zake. Vinginevyo kila mtu na mbaya wake eh? Sheria ya msituni.

Mkuu wewe nadhani uko ughaibuni. Bongo siku hizi tokea rais alalamike kusomewa itikafu, basi nchi inajitawala. Kama alipewa mwakyembe sumu na waliompa ndo wakampeleka India sioni ajabu kwa huyu wa leo. Jamaa ashaua watu kibao hapa Dar. APIGWE TU
 
Mnajaribu kuhalalisha ujinga; hata adui yako ana haki zake. Vinginevyo kila mtu na mbaya wake eh? Sheria ya msituni.

Aliposhambuliwa Kubenea na Ndimara, nilisema, "Taifa limeingia katika utamaduni mpya na ya hatari na sasa hakuna aliye salama tena, si waandishi, si polisi, si madaktari, si wanasiasa, si wanafunzi,si wakulima, si madereva, si wafanyabiashara, si raia wema na si wahalifu nao; Binadamu wote hatuko salama tena hapa Tanzania.

Sote tusikubali huu upuuzi hata kama anayefanyiwa Ana makosa yake." Bahati mbaya sana mmoja wa rafiki niliyemwambia maneno haya na yakamuingia naye amepatwa na janga la kushambuliwa. Nasema kama Taifa tumeharibikiwa na lazima sote tuseme HAPANA. Kama mtu Ana makosa Dola ifanye kazi kurudisha imani.

Nitaandika mahali maalumu kwa undani.
 
Mnajaribu kuhalalisha ujinga; hata adui yako ana haki zake. Vinginevyo kila mtu na mbaya wake eh? Sheria ya msituni.

Wakati mwingine mtu napooonekana yuko juu ya sheria inaumiza sana na kusononesha nafsi, kufikia mtu kufanya CHOCHOTE! Na kwa Tanzania hii ndugu yangu kuna watu hawafikishiki mbele ya sheria, huyo jamaa wala simwonei huruma.
 
Wakuu,

Kwa muona wangu nadhani huyo kijana aliyemfanyia huyo mfanyabiasha hicho kitendo bila shaka atakuwa ameagizwa kufanya hivyo aidha na mahasimu wa Said Mohamad au wafanyabiashara wenzake.

Katika hali kama hiyo, bwana Said akipata nafuu na kuruhusiwa kutoka hospitali, kwa historia yake ya kuwa mafia daraja la kwanza nchini, naamini lazima atalipiza kisasi kwa hao atakao wahisi kuwa wenda ndio wamemfanyia hilo tukio la kumwagiwa tindikali.

Rai yangu; huyu bwana Said ilipaswa apigwe risasi eneo ambalo lingempoteza kabisa maisha, ila kwa kuwa akijafanyika hicho, basi jitihada zifanywe za kumuondoa tu duniani ili tuepushe madhara makubwa huku uraiani.
Kwa hiyo ndio kusema kwamba unakubali kwamba serikali yetu ni dhaifu na kwamba utawala wa sheria Tanzania una walakini? Kama huyu mtu alikwishafahamika kwamba ni mafia, serikali ilikwishachukua hatua gani???!!
 
Said ana maadui wengi sana... Kutokana na jeuri yake .... Pesa sio kila kitu inafika kipindi watu wanakuchoka ....

So sad

pole bwana said kuwa mnyenyekevu kwa watu basi hata kidogo
 
ile issue ya u counselor ubalozi mdogo wa tanzania guanzhou , huyu said huyu.. acha nimstiri chini ya ulimi.. mwezi mtukufu huu
 
Duuh sasa siku hizi sijui tuwe tunatembea tumevaa helmet!! Maskini sura zetu.
 
days goesby new idea & techs take over everyday, crime shall be much police na vyombo vyote vya ulinzi na usalama wa raia lazima vivae new version kutoka v.60 wavae v.2013 na sio kila kukicha kukimbizana na CHADEMA ambao wakati mwingine haohao ndio wanaowatetea kuhusu maslahi yao bungeni CHANGE MUST BE!

Natamani jeshi la polisi kingekuwa ni chombo huru chenye taratibu na mamlaka zilizoratibiwa kikawekewa mipaka yake na kazi zake zikahainishwa
 
Back
Top Bottom