Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 252
- 145
Wadau ni siku nyingi sijasikia kuhusu mpambanaji Kubenea. Mwenye kujua sababu za ukimya huu, pls atujuze, yupo nchini au yuko wapi?
Wadau ni siku nyingi sijasikia kuhusu mpambanaji Kubenea. Mwenye kujua sababu za ukimya huu, pls atujuze, yupo nchini au yuko wapi?
yupo na mpira pesa anapambana na aden rage nenda pale utamkuta au kndon studio au vijana
Tuko nae hapa mkuranga analima nyanya na mbogamboga.
Huyu ni mtu mzalendo kwa hakika
yko nje anasoma
6gates acha utani hivi h,dalali alipigwa chin na pepa la std 7 au form two au tatizo madrasa.kubenea aende huko si tenga anasepa wasije wakammwangosi vijana wa mwema akizingua tena
Hahahahaa mpira pesa kijiwe chetu mkuu my web , baada ya katiba ya simba kubadilishwa na kuongeza qualifications za mtu kuwa mwenyekiti wa simba at least awe na elimu ya kwanzia form four.. Hassan DALALI sasa hivi anasoma QT.