Sahara Media badilisheni uongozi wa juu wa kampuni yenu

PRINCE CROWN

JF-Expert Member
Feb 12, 2013
5,210
4,175
Asalam Ndugu wanafamilia wenzangu wa Jf kutokana na kutokuwepo kwa muda sasa jukwaani kutokana na majukum yaliyokuwa yananikabili.

Napenda kuchukua fursa hii kutoa ushauri wangu kwa uongozi wa Sahara Media kwamba niwakati muafaka wa kubadilisha uongozi wa kampuni hii.

Inayomiliki vituo vya Star tv, radio freeafrica, kiss fm.

Niukweli usiopingika kwamba kampuni hii kwa sasa imepwaya sana katika eneo la ubunifu.

Hasa katika eneo la Star tv. Na kingamuzi chao cha Contnental Decorder.

Program ni Mbovu vipindi vinarudiwa hakuna ubunifu station ni nyingi lakini nyingi hazina mvuto kabisa.

Ukiwasikiliza wafanyakazi wanaulalamikia sana uongozi kwamba unafanya kazi kwa mazoea.

Niwakati sasa ndugu diallo akatafuta mtendaji mwenye sifa kama ndugu Tido Mhando wa Azam tv ili aboresha kampuni hii.
 
Mkuu sema pia kuna baadhi ya wafanyakazi hawajalipwa zaidi ya miezi 6 sasa.
 
Kwa upande wa hiyo continental decoder ni zaidi ya majanga.
Sidhani kama kulikuwa na haja ya kuwa na viportion vingivingi vinavyojitegemea halafu vipindi vinarudiwa mpaka kero mfano mzuri star cinema hizo cinema toka mwaka jana mpaka leo zinarudiwa hizohizo mnatukera watazamaji.
Ni afadhali mpunguze mbaki na chache zenye ubora kuliko kuwa na rundo lisililo na ubora.
Wabadilike kwakweli mana ni zaidi ya upuuzi mana wamewafanya watazamaji wa hii decoder yao kama wajinga kwa tabia yao ya kurudia rudia.
 
TCRA kama haipo vile, huduma ya hawa jamaa hairidhishi kabisa. Vipindi vyao ni vizuri hakika.
 
Kinachoboa zaidi kila wiki statv kukata matangazo kwa siku 2_3.

Yani wamekua hovyo mpaka kero hii tv
 
Wawarudishe Freduwaa, Rahabu, Baruani na Maganga wairudshe Sahara media iliyozoeleka kwa ubunifu.
 
Asalam Ndugu wanafamilia wenzangu wa Jf kutokana na kutokuwepo kwa muda sasa jukwaani kutokana na majukum yaliyokuwa yananikabili.

Napenda kuchukua fursa hii kutoa ushauri wangu kwa uongozi wa Sahara Media kwamba niwakati muafaka wa kubadilisha uongozi wa kampuni hii.

Inayomiliki vituo vya Star tv, radio freeafrica, kiss fm.

Niukweli usiopingika kwamba kampuni hii kwa sasa imepwaya sana katika eneo la ubunifu.

Hasa katika eneo la Star tv. Na kingamuzi chao cha Contnental Decorder.

Program ni Mbovu vipindi vinarudiwa hakuna ubunifu station ni nyingi lakini nyingi hazina mvuto kabisa.

Ukiwasikiliza wafanyakazi wanaulalamikia sana uongozi kwamba unafanya kazi kwa mazoea.

Niwakati sasa ndugu diallo akatafuta mtendaji mwenye sifa kama ndugu Tido Mhando wa Azam tv ili aboresha kampuni hii.
Yaani umeniwah mkuu nimetoka kuandika uzi sasaivi...
Kwanza vipindi havivutii, vinaludiwa kila mala watangazaji wamepooza hawapo up to date pia hakuna vipindi vizuri vya watoto.... Kuna kimoja kinalushwa kila j2 saa 11:30AM ni cha ovyo hadithi hazieleweki anachanganya kingereza na kiswahili. anawahadithia watoto kua zamani kulikua na kuku mkubwa anatoka dar had mwanza zamani kulikuwa na masaa 82 sasa zama za zamani na sasaivi ni tofauti mtoto wa sasaivi kumuongopea ni ngum muhadithie aelewe yaani kipindi cha hovyoooo kabisaaaaa
 
Yaani umeniwah mkuu nimetoka kuandika uzi sasaivi...
Kwanza vipindi havivutii, vinaludiwa kila mala watangazaji wamepooza hawapo up to date pia hakuna vipindi vizuri vya watoto.... Kuna kimoja kinalushwa kila j2 saa 11:30AM ni cha ovyo hadithi hazieleweki anachanganya kingereza na kiswahili. anawahadithia watoto kua zamani kulikua na kuku mkubwa anatoka dar had mwanza zamani kulikuwa na masaa 82 sasa zama za zamani na sasaivi ni tofauti mtoto wa sasaivi kumuongopea ni ngum muhadithie aelewe yaani kipindi cha hovyoooo kabisaaaaa
keleuwiiii haki nimechekaaaaa
Kuku dar to mwanza??
hahahaha
 
keleuwiiii haki nimechekaaaaa
Kuku dar to mwanza??
hahahaha
Kweli siongopi in short ananichefua sana eti kuku anamabawa marefu kama reli na miguu mikubwa inatoka tanga hadi arusha mala watu zamani walikuwa wanalala mwakamzima na akiamka hasinzii hadi miaka 32 sasa apo mtoto anajifunza nini upuuzi mtupu wanakela jamani
 
Kweli siongopi in short ananichefua sana eti kuku anamabawa marefu kama reli na miguu mikubwa inatoka tanga hadi arusha mala watu zamani walikuwa wanalala mwakamzima na akiamka hasinzii hadi miaka 32 sasa apo mtoto anajifunza nini upuuzi mtupu wanakela jamani
daaaah noma hii hawa watu ni wa ajab waige bhas hata kwa azam vile
 
Back
Top Bottom