Saga la Makonda: My Take

Najaribu kujiingiza ndani ya kichwa cha huyu dogo ndani ya muda huu. Sijui anapoingia kazini ofisini kwake anawatazamaje wafanyakazi wote walio chini yake.

Uso umeumbiwa aibu na kauli ya jana ya JPM ni nzito sana. Inafaa kabisa kuambatana na barua ya termination.
 
Mkuu upinzani umetoka wapi hapa? mbona unaandika kwa mihemko? wanaomsakama makonda ni wapinzani tu? mbona wengi ni ndani ya ccm? siku ukianza kutumia akili zako ndogo ulizojaaliwa itapendeza. acha kutumia akili za barabarani na udaku!
 
Ukifanikiwa kuingia kichwani mwa Bashite na ukitoka salama basi uje utusimulie hayo mazingira ya humo ndani yapo vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Shule muhimu sana. Bashite ni bichwa wazi, debe tupu. Litaibua shida nyingine kubwa. Yetu macho. Mzee baba atashindwa kuendelea kumvumilia.
 
Shule muhimu sana. Bashite ni bichwa wazi, debe tupu. Litaibua shida nyingine kubwa. Yetu macho. Mzee baba atashindwa kuendelea kumvumilia.

Hapo kwa Makonda alikosea sana kumteua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…