Safarini naenda Butiama

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,640
Natoka Morogoro naelekea Singida. Pale 100 km kutoka Morogoro imeanguka tanker ya mafuta, imeanguka pale pale kwenye lami. Wanakijiji wanakuja from all sides kuchota mafuta.

Nimeona malori mengi yamepaki pembeni. Nimeuliza,"Huyu hapa ameanguka, lakini hawa wengine wana shughuli gani hapa?"

Nimeambiwa,"Ah, hawa si ndio wamesimama na wao kuchota mafuta.!"

Ndiyo Kleptocracy tuliyo nayo. Wananchi wanajifunza wizi kutoka kwa Serikali.

Umeona jana Kash Kash Nepal. Waandamanaji walikuwa wanapinga Kleptocracy.

Halafu Nepal ndilo alikozaliwa Buddha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…