mzawahalisi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 752
- 238
Habari za jioni wanandugu.
hapo awali nilijaribu kuweka bandiko hili ila sijui ni kasimu kangu ka mchina ama modes hakikukaa.
hoja yangu ya msingi ni namna ya Kusafiri nyakati za usiku hapa kwetu tanzania.
nchi za jirani zetu yaani Kenya na uganda wanasafiri usiku. hii inasaidia kuharakisha maendeleo. Mchana unafanya shughu
hapo awali nilijaribu kuweka bandiko hili ila sijui ni kasimu kangu ka mchina ama modes hakikukaa.
hoja yangu ya msingi ni namna ya Kusafiri nyakati za usiku hapa kwetu tanzania.
nchi za jirani zetu yaani Kenya na uganda wanasafiri usiku. hii inasaidia kuharakisha maendeleo. Mchana unafanya shughu
- li zako katika mji mmoja, usiku unasafiri anamkia mji mwengine kufanya shughuli nyingine na jioni yake unarudi kwenye mjo wako wa awali.
- Ninasema haya kwakuwa kwakweli nimetingwa ninahitajo kwenda Dar toka Moshi kesho ijumaa jioni,Jmosi asubuhi niamkie kwenye shuhuli huko maofisi mengine kabla hawajafunga saa sita, na jpili nirudi zangu kwa mwajiri wangu. usafiri wa malori sijaujua vyema ingawaje nahisi jamaa hawajali mda. sasa mapendekezo yangu ni haya:
1. short term: kwa kesho kama kuna member anaye safiri kesho mchana ama jioni kwa gari lenye nafasi ya mtu 1 ambaye n mm ani Pm, nipo tayari kuchangia.
2. serikali iruhusu tena safari za usiku kwa kuwa miundombinu imeimarika sasa.
3. Kuwe na forum ambapo kama mtu anasafiri na gari binafsi lenye nafasi aweke bandiko apate (abiria) wadau wamchangie hata mafuta kidogo safari iwe nyepesi.
nawasilisha.
2.