Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,144
Habari zenu ndugu zangu nina imani mko poa.Hii ni historia yangu fupi ya kielimu.
Baada ya kumaliza darasa la saba Bukoba nilienda Uganda sehemu moja inaitwa Kakuuto kusoma english course huu ni utaratibu uliokuwepo kwa vijana walio maliza la saba kwenda Uganda sijui siku hizi sijui kama utaratibu bado hupo kulikuwa na mawakala hii ilikuwa 2007.
Matokeo yalipo toka nilifaulu nilichaguliwa kujiunga kidato cha 1 nikiwa katika jitihada za kujiunga january mzee wangu akahamishiwa Dar 2008 ikabidi niongozane nae.
Nikaangaika nikapata shule Wilaya ya Temeke nikaanza shule 2011 nikamaliza form four matokeo yangu hayakuwa mazuri sana nilipata History C English B na English in literature B Civics D yaliyobakia nilipata F.
Nilimpelekea mzee result akasema hapa uchague urudie hama ukasome Uganda kidato cha tano nikaona isiwe shida nikachagua kwenda Uganda kupiga advance 2012 mwezi March nikafunga safari mpaka nyumbani Bukoba nikaanza kuulizia shule za bei nafuu mzee alisema isizidi laki 7 kwa mwaka.
Nikafanya mchakato wa passpprt nikapata ya mwaka 1 nikapanda gari mpaka Kampala kipindi hicho nauli ilikuwa elfu 15 Bukoba to Kampala nikasaka shule nikapata ya walokole ada ilikuwa laki 5 kwa mwaka nikarudi home Bukoba nikamcall mzee nikampa data.
Huku nikisubiri mzee aje twende Uganda nikajiunge na shule nikapata kibarua cha kusaidia mafundi kujenga yalikuwa majengo ya zahanati kwa siku nilikuwa nalipwa elfu 6 nikaona mafundi wanapiga hela nakaachana na mawazo ya kusoma advance nikaona bora niingie Veta.
Nikamueleza b mkubwa akakubali shingo upande ila mzee alinielewa akanipeleka shirika la elimu Kisarawe 2013 nikapiga Mason mpaka level 1nilimaliza. Sikuendelea na le level 2 nikaanza kufanya kazi hela zinakuja tu jengo la mfuko wa jamii lilinipa uzoefu mkubwa hapo station posta ya zamani sikujuta kusoma ufundi.
2015 niliamua kurudia baadhi ya masomo nikaagiziwa kwa Aziz kuna ticha anafundisha fresh anaitwa Ginga nikachua masomo 3 Kiswahili, Civcs na Math bahati nzuri nilipata kazi kupitia kampuni ya Estim kujenga ubalozi wa India nikapata muda wa kuingia job nikawa naudhuria darasa la jioni nikafanya mtihani civics D Math F Kiswahili C, nikaunganisha matokeo 2016 nikaanza kusoma Advance 2017 nikafaulu.
Nikatulia kwa sasa naendelea na shughuli zangu za ujenzi hapa Bukoba kuna project nafanya mwezi kesho nitakuwa Zanzibar sehemu moja inaitwa Fumba naenda hii ndio raha ya ufundi ulali njaa.
Kwa kuwa nina malengo ya kuwa engineer narudi Veta kusoma level 2 pale Kibaha Kongowe mwakani January ili nipate sifa ya kusoma ngazi ya juu.
Ushauri wangu nyote mliosoma masomo ya art kwenda kusoma chuo kikuu kupata ajira ni mtihani ni bora ukasoma fani kuepuka kuwa mzigo baadae.
Baada ya kumaliza darasa la saba Bukoba nilienda Uganda sehemu moja inaitwa Kakuuto kusoma english course huu ni utaratibu uliokuwepo kwa vijana walio maliza la saba kwenda Uganda sijui siku hizi sijui kama utaratibu bado hupo kulikuwa na mawakala hii ilikuwa 2007.
Matokeo yalipo toka nilifaulu nilichaguliwa kujiunga kidato cha 1 nikiwa katika jitihada za kujiunga january mzee wangu akahamishiwa Dar 2008 ikabidi niongozane nae.
Nikaangaika nikapata shule Wilaya ya Temeke nikaanza shule 2011 nikamaliza form four matokeo yangu hayakuwa mazuri sana nilipata History C English B na English in literature B Civics D yaliyobakia nilipata F.
Nilimpelekea mzee result akasema hapa uchague urudie hama ukasome Uganda kidato cha tano nikaona isiwe shida nikachagua kwenda Uganda kupiga advance 2012 mwezi March nikafunga safari mpaka nyumbani Bukoba nikaanza kuulizia shule za bei nafuu mzee alisema isizidi laki 7 kwa mwaka.
Nikafanya mchakato wa passpprt nikapata ya mwaka 1 nikapanda gari mpaka Kampala kipindi hicho nauli ilikuwa elfu 15 Bukoba to Kampala nikasaka shule nikapata ya walokole ada ilikuwa laki 5 kwa mwaka nikarudi home Bukoba nikamcall mzee nikampa data.
Huku nikisubiri mzee aje twende Uganda nikajiunge na shule nikapata kibarua cha kusaidia mafundi kujenga yalikuwa majengo ya zahanati kwa siku nilikuwa nalipwa elfu 6 nikaona mafundi wanapiga hela nakaachana na mawazo ya kusoma advance nikaona bora niingie Veta.
Nikamueleza b mkubwa akakubali shingo upande ila mzee alinielewa akanipeleka shirika la elimu Kisarawe 2013 nikapiga Mason mpaka level 1nilimaliza. Sikuendelea na le level 2 nikaanza kufanya kazi hela zinakuja tu jengo la mfuko wa jamii lilinipa uzoefu mkubwa hapo station posta ya zamani sikujuta kusoma ufundi.
2015 niliamua kurudia baadhi ya masomo nikaagiziwa kwa Aziz kuna ticha anafundisha fresh anaitwa Ginga nikachua masomo 3 Kiswahili, Civcs na Math bahati nzuri nilipata kazi kupitia kampuni ya Estim kujenga ubalozi wa India nikapata muda wa kuingia job nikawa naudhuria darasa la jioni nikafanya mtihani civics D Math F Kiswahili C, nikaunganisha matokeo 2016 nikaanza kusoma Advance 2017 nikafaulu.
Nikatulia kwa sasa naendelea na shughuli zangu za ujenzi hapa Bukoba kuna project nafanya mwezi kesho nitakuwa Zanzibar sehemu moja inaitwa Fumba naenda hii ndio raha ya ufundi ulali njaa.
Kwa kuwa nina malengo ya kuwa engineer narudi Veta kusoma level 2 pale Kibaha Kongowe mwakani January ili nipate sifa ya kusoma ngazi ya juu.
Ushauri wangu nyote mliosoma masomo ya art kwenda kusoma chuo kikuu kupata ajira ni mtihani ni bora ukasoma fani kuepuka kuwa mzigo baadae.
