Safari ya Songea

Hahaha jamani,
Yaan simulia yako imenipa picha moja matata Kama na check movie!!
 
Kwanza hao wangoni,Wasukuma na waha ni wachafu
 
Kung'ata na meno
 
Uliwapa hela au wanatumia hela zao?
 
Yani unampangia mtu bajeti kheee
 
Hiyo njia ina Majabari ya hatari hiyo miamba nakwambia Mwanza ikasome. Masasi to Tunduru hadi Songea mwendo wa kupishana na MALORI YA MAKAA YA MAWE KILA KILOMITA Kadhaa mlori huu hapa.
Ndiyo maana siipendi hiyo njia,hasa kwa usiku si salama,malori ya makaa yanaserereka tu.
 
Njia hiyo hakuna huduma nzuri kama za chakula kwa wasafiri wapata shida sana.
Wanategemea Nangurukulu tu hapo kwa kujua hilo ndiyo mana wenzako walikua wanajihami mapema mnaweza kusafiri mwanzo hadi mwisho bila kupata huduma ya chakula sehemu.
 
Songea huu ndio msimu wa maembe hao watakuwa wanyasa
 
Usipo Kuwa na pesa shida Kila anacho kufanya mwenzako niushamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…