Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
Hahaha babu Asprin, ruksa granted bwana Mheshimiwa waziri..i know dereva wako Mtambuzi alikokupitisha na mimi nilikuwa na bosi wangu Ruttashobolwa kule NCHI IMEUZWA BAR ndo namrudisha kwa Passion Lady wake.
eti nini Mentor
mlikua wapi?
mbona sijaambiwa?
honey Ruttashobolwa
nahitaji maelezo yaliyoshiba pls!
Ndo nimesoma. Mimi tayari ni raia wa Rwanda
Bado nipo nipo sana kaka Lyagwa...saaana!!!
Naona ushuhuda juu ya mazingira yako ya kazi yamekuwezesha sana kukutana na vipusa vya kila aina, na hii inanikumbusha tena story ya mwalimu wangu mmoja wakati nikiwa sekondari yeye aliwahi kusema (nanukuu) "Siwezi kununua ng`ombe wa maziwa ili hali maziwa bado yanapatikana" (mwisho wa nukuu). Hii ni nje na mada ya msingi kwa leo.
Ukikaa na kutafakari kwa kina sana juu ya Tanzania yetu kama utakuwa na japo dalili za kuwa ugonjwa wa moyo, hakika unaweza kujikuta jina lako limebadirika (unakufa), kuna mengi ya ajabu hasa sehemu mbalimbali za kazi serikalini. Pesa za umma zinajuta huko kwenye serikali kuu, mitaa nk japo haziwezi kusema jambo.
Mkuu mentor kwa fani yako umeona magofu ya viwanda ukatamani wewe mwenye diploma flani na mwenye fani fulani toka Veta mngeweza kupata ajira hapo, lakini hakika hapo kila taaluma ingeingia hapo na hata mfagiaji na mpika chai na mama & baba ntilie wote wangeingia hapo na kufaidika kwa namna moja ama nyingine, lakini yamebaki magofu. Ili ninyi mfanye kazi hapo mngehitaji mhasibu, storekeeper, driver, mafundi kwa fani zote i.e umeme, welding, plumbing, civil, na siku hizi tena computer n.k, angalia idadi ya ajira zilizopotea hapo, eti mpaka mwekezaji atoke China ama India aje tumuuzie na kwa bahati mbaya naye akija anakuja na watu wake ama anafanya kiwanda chetu kuwa godauni/store, aibu hii tutaificha wapi. hii ni moja tu
Kuna kwenye madini, maliasili, nk.
Mkuu Mentor haya mambo yaliyokushangaza kule kwa majirani zetu waliojaliwa watoto waliumbika yalishazungumzwa sana hapa jamvini ili yafanyike kama wanavyofanya hao jirani zetu katika jitihada za kupunguza gharama za uendeshaji wa Serikali ambazo haziongezi tija kwa Watanzania lakini hii Serikali taahira Ooops!!! Serikali sikivu haimbiliki hivyo bado hizi gharama kubwa mbali mbali bado zinaendelea mwaka nenda mwaka rudi bila huruma yetote ile kwa walipa kodi.
Waache majirani zetu wa Kinyarwanda waridhishwe kwa asilimia kubwa na utendaji uliojaa ufanisi mkubwa wa Serikali yao ukilinganisha na hii Serikali yetu ambayo utendaji ni SIFURI.
Very good story ingawa imebeba mada zaidi ya moja! Natamani Mr. President angeisoma hii!
I do believe Hon Uhuru Kenya will show the rest of East Africa (excluding Rwanda) how government expenditure should controlled
Naona ushuhuda juu ya mazingira yako ya kazi yamekuwezesha sana kukutana na vipusa vya kila aina, na hii inanikumbusha tena story ya mwalimu wangu mmoja wakati nikiwa sekondari yeye aliwahi kusema (nanukuu) "Siwezi kununua ng`ombe wa maziwa ili hali maziwa bado yanapatikana" (mwisho wa nukuu). Hii ni nje na mada ya msingi kwa leo.
Ukikaa na kutafakari kwa kina sana juu ya Tanzania yetu kama utakuwa na japo dalili za kuwa ugonjwa wa moyo, hakika unaweza kujikuta jina lako limebadirika (unakufa), kuna mengi ya ajabu hasa sehemu mbalimbali za kazi serikalini. Pesa za umma zinajuta huko kwenye serikali kuu, mitaa nk japo haziwezi kusema jambo.
Mkuu mentor kwa fani yako umeona magofu ya viwanda ukatamani wewe mwenye diploma flani na mwenye fani fulani toka Veta mngeweza kupata ajira hapo, lakini hakika hapo kila taaluma ingeingia hapo na hata mfagiaji na mpika chai na mama & baba ntilie wote wangeingia hapo na kufaidika kwa namna moja ama nyingine, lakini yamebaki magofu. Ili ninyi mfanye kazi hapo mngehitaji mhasibu, storekeeper, driver, mafundi kwa fani zote i.e umeme, welding, plumbing, civil, na siku hizi tena computer n.k, angalia idadi ya ajira zilizopotea hapo, eti mpaka mwekezaji atoke China ama India aje tumuuzie na kwa bahati mbaya naye akija anakuja na watu wake ama anafanya kiwanda chetu kuwa godauni/store, aibu hii tutaificha wapi. hii ni moja tu
Kuna kwenye madini, maliasili, nk.
Mkuu Mentor huna haja ya kuwaza tena. Sala zako zimesikika 🙂🙂
Goodbye gas-guzzling Cruisers, hello air-conditioned Bajajs for TZ?s ministers?
Hii hadithi ni nzuri lakini naomba nikuambie kitu kimoja
Ulinzi na usalama wa viongozi wetu ni muhimu na hao wa rwanda unawaona wanajiachia hivyo ni kwa sababu wameisha uana sana mpaka wamechoka kuua hivyo kwa sasa wanaishi kwa kuheshimiana kwa sababu ya kuogopa kurudia yalioyotokea lakini asikudanganye mtu. Chuki waliyo nayo bado ipo ila wanajitahidi kuidhibiti tu.
Leo hii IGP akiuawa na majambazi utakuwa ni uzembe wa hali ya juu kushindwa kutoa ulinzi kwa mkuu wa polisi.
Hiyo system ya rwanda kwetu haitufai hata kidogo, usalama wa viongozi wetu ni muhimu sana.
Kuhusu magari makubwa naunga hoja lakini magari yanayoweza kufika kila kona yanchi ni yale makubwa 4x4 ambayo ni bei, labda tunge badili kwa viongozi wa mijini watumie gari za kawaida kama saloon cars na hata kama ni 4x4 ziwe less cost vehicles kama suzuki, toyota rav 4 , nk
Hayo ya nyumba ndogo ni personal life ya mtu mie sipendio hiyo tabia lakini sidhani kama ni vyema kujadili personal lifes za watu, kama wewe hujawahi kuitenda hiyo dhambi basi na uwe wa kwanza kurusha jiwe!
Hii hadithi ni nzuri lakini naomba nikuambie kitu kimoja
Ulinzi na usalama wa viongozi wetu ni muhimu na hao wa rwanda unawaona wanajiachia hivyo ni kwa sababu wameisha uana sana mpaka wamechoka kuua hivyo kwa sasa wanaishi kwa kuheshimiana kwa sababu ya kuogopa kurudia yalioyotokea lakini asikudanganye mtu. Chuki waliyo nayo bado ipo ila wanajitahidi kuidhibiti tu.
Leo hii IGP akiuawa na majambazi utakuwa ni uzembe wa hali ya juu kushindwa kutoa ulinzi kwa mkuu wa polisi.
Hiyo system ya rwanda kwetu haitufai hata kidogo, usalama wa viongozi wetu ni muhimu sana.
unaboa kwa pumba zako humu ndani,.
Hahaha babu
Asprin, ruksa granted bwana Mheshimiwa waziri..i
know dereva wako Mtambuzi alikokupitisha na
mimi nilikuwa na bosi wangu Ruttashobolwa kule
NCHI IMEUZWA BAR ndo namrudisha kwa Passion
Lady wake.
pole we utakufa kwa presha yaache kama yalivyo cha msingi uwe unamfungashia ndom unampa dereva kabisa ili anapoenda kuunganisha mitambo aiset vizuri.
Habari inafikirisha kwa kweli thank you kijana wangu Mentor kwa ku take time nakusimulia hii habari ambayo inaachatafakuri kwa kila atakayesoma.
kuna mengi ya kujifunza kupitia habari hii, natamani kama ingewekwa jukwaa la siasa ili ichangiwe na wadau wengi na kuweka mitazamo yao ya nini kifanyike kuhusu matumizi ya serikali yetu.
once again thank you Mentor
Sorry kwa kukufikisha huko sio lengo langu.
Mwanaume huwa halii kwa machozi kama unavyotaka kufanya (hii ni kwa mjibu wangu la kwa kabila langu pia).
Haya yote yana mwisho mkuu hata kama ni baada ya kizazi kingine, japo watatucheka sana wakati huo, kama leo tunavyokumbuka akina chief Mangungu na wengine.