[h=1]SAFARI YA MWISHO YA BI KIDUDE YATIMIA![/h]
Mwanamuziki mkongwe, Bi Kidude binti Baraka aliyefariki dunia jana amezikwa leo mchana huko Zanzibar na katika mazishi hayo alihudhuria Mhe. Rais Dr. Ali Mohamed Shein. Pichani ni jeneza la marehemu Kidude likielekea makaburini.
Mhe. Rais na viongozi wengine wakitoa heshima zao za mwisho mbele ya marehemu Bi Kidue kabla ya kuhifadhiwa kwenye jeneza.
Msanii Naseeb Abdul ,Diamond; naye alikuwepo kutoa heshima zake za mwisho.
Sehemu ya umati uliohudhuria mazishi hayo upande wa kina mama
Mhe. rais wa zanzibar Dr Shein alipokuwa akiwasili kwenye mazishi hayo.PICHA: IMELDA MTEMA-GPL-ZANZIBAR
- Posted by Global Publishers on April 18, 2013 at 1:41pm
- View Blog