bazl
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 440
- 587
Wakuu habari za mihangaiko,huu uzi unalengo la kupeana changamoto tulizokumbana nazo siku tulipo toka nyumbani na kwenda kuanza maisha rasmi
Mimi nilikutana na changamoto ya kupamiss home yani hadi nikawa natamani kurudi!
Kitu kingine niliweza kuanza na kakitanda na godoro lakini mpunga wote ulikata nikawa sina hata ndoo ya kuogea yani daaah
Mimi nilikutana na changamoto ya kupamiss home yani hadi nikawa natamani kurudi!
Kitu kingine niliweza kuanza na kakitanda na godoro lakini mpunga wote ulikata nikawa sina hata ndoo ya kuogea yani daaah