Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,974
- 8,116
Bia ni moja tu....Safari lager


nipatie kil ya baridi tafadhar…
Nyie itabidi mkakoment kwenye thridi ya mamlaka ya maji Tanzania


kitu.Acha kulinganisha Safari Lager na vitu visivyo na maanaWasalaaaam wazee...... Hii battle nani anashinda!!!!!!??
View attachment 2221737
View attachment 2221738
😂😂😂😂😂😂😂😂Nyie itabidi mkakoment kwenye thridi ya mamlaka ya maji Tanzania
Huyu mzee kuna stori kuwa kuna co ya kibeberu ilimchukuaYule mzee aliyekua anapika zile safari za miaka ya 90 sijui atakua amestaafu kaondoka na formula yake manake zilikua tamu sana hapa nimemeza na mate