Queen Kyusa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 663
- 162
Said Kubenea yupo bahati mbaya gazeti la Mwanahalisi linakufa kifo cha kawaida imefika wkt linauzwa kwa kilo maeneo ya Kariako/Msimbazi na Uhuru.
Dua la kuku hilo na wivu wa kike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Said Kubenea yupo bahati mbaya gazeti la Mwanahalisi linakufa kifo cha kawaida imefika wkt linauzwa kwa kilo maeneo ya Kariako/Msimbazi na Uhuru.
Said Kubenea yupo bahati mbaya gazeti la Mwanahalisi linakufa kifo cha kawaida imefika wkt linauzwa kwa kilo maeneo ya Kariako/Msimbazi na Uhuru.
mmh! Kweli wewe mchuzi. Muongoooooooooo!!
By Kimbunga
Mkuu kisima jongoo kama sasa anachukua diploma ya Mass Communication, huko nyuma alikuwa na cheti gani? Au ndio ile habari niliyowahi kuisikia kuwa jamaa elimu iko chini anatumia talanta tu katika uandishi?
Kaka yangu Kimbunga Tanzania hakuna waandishi wa habari wengi wao ni makanjanja wa mjini tu. Wewe angalia magazeti yetu na aina ya waandishi Tanzania kila muandishi ana malengo ya kuwa kiongozi wa chama.
Mkuu kisima jongoo kama sasa anachukua diploma ya Mass Communication, huko nyuma alikuwa na cheti gani? Au ndio ile habari niliyowahi kuisikia kuwa jamaa elimu iko chini anatumia talanta tu katika uandishi?
Said Kubenea yupo bahati mbaya gazeti la Mwanahalisi linakufa kifo cha kawaida imefika wkt linauzwa kwa kilo maeneo ya Kariako/Msimbazi na Uhuru.
Mchuzi wa bata bwana yaani Mwanahalisi limefikia hali hiyo kweli?
Said Kubenea yupo bahati mbaya gazeti la Mwanahalisi linakufa kifo cha kawaida imefika wkt linauzwa kwa kilo maeneo ya Kariako/Msimbazi na Uhuru.
Mimi mwenyewe kaka nimestuka kusikia jamaa anatafuta diploma! wakati kuna vijana kama 500 kila mwaka wanamaliza BA Journalism na BA Mass Com bongo! Kweli ukistaajabu ya Musa
Mchuzi wa bata nadhani ulimaanisha magazeti ya Uhuru na Mzalendo.
Kubenea aishukuru sana Serikali ya JK vinginevyo angekuwa kipofu!
Mimi mwenyewe kaka nimestuka kusikia jamaa anatafuta diploma! wakati kuna vijana kama 500 kila mwaka wanamaliza BA Journalism na BA Mass Com bongo! Kweli ukistaajabu ya Musa
Mimi mwenyewe kaka nimestuka kusikia jamaa anatafuta diploma! wakati kuna vijana kama 500 kila mwaka wanamaliza BA Journalism na BA Mass Com bongo! Kweli ukistaajabu ya Musa