EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
Mshikaji Heshima kitu cha Bure ! Naomba uthibitishe au ufute kauli yako.Watajibu kwani kichaa anajitambua?Hivi kwani kuna kijana yeyote mwenye akili timamu bado yupo CCM?Huko kutuhumiana hakunishangazi maanake ili uwe UVCCM mojawapo wa sifa kuu kuliko zote ni lazima uwe chizi.