Watajibu kwani kichaa anajitambua?Hivi kwani kuna kijana yeyote mwenye akili timamu bado yupo CCM?Huko kutuhumiana hakunishangazi maanake ili uwe UVCCM mojawapo wa sifa kuu kuliko zote ni lazima uwe chizi.
Watajibu kwani kichaa anajitambua?Hivi kwani kuna kijana yeyote mwenye akili timamu bado yupo CCM?Huko kutuhumiana hakunishangazi maanake ili uwe UVCCM mojawapo wa sifa kuu kuliko zote ni lazima uwe chizi.
Mamndenyi
Ha ha ha!Pamoja shem wangu wa ukweli
Ben Kuwa makini na matamshi yako, acha propagannda. Mimi naamini kijana kutoka cdm kama wewe anatakiwa atowe mawazo ya kujenga ili watanzania wapte fursa ya kutambua mabaya ya watawala wao na waelekee kwenye UKOMBOZi but kama utaanza Prpopaganda utakuwa ni mwanzo wa kutoaminika kama kijana ktk Taifa