Jana nilikuwa naangalia matukio katika kijiji cha Mama Shujaa wa Chakula pale Maisha Plus, kwa maana ya matukio yaliyojiri siku ya J'2. Nikaona ya kwamba ilikuwa ni siku ya Ibada kwa Wakristo na nikaona kuna Misa kama Mbili (2) tofauti zilifanyika.
Nataka kujua SADAKA zao wale Wamama zinatumikaje na zinakwenda wapi?.​
Nataka kujua SADAKA zao wale Wamama zinatumikaje na zinakwenda wapi?.​