Sadaka maisha plus

Sadaka maisha plus

Edmund

Senior Member
Joined
Jul 17, 2009
Posts
123
Reaction score
62
Jana nilikuwa naangalia matukio katika kijiji cha Mama Shujaa wa Chakula pale Maisha Plus, kwa maana ya matukio yaliyojiri siku ya J'2. Nikaona ya kwamba ilikuwa ni siku ya Ibada kwa Wakristo na nikaona kuna Misa kama Mbili (2) tofauti zilifanyika.

Nataka kujua SADAKA zao wale Wamama zinatumikaje na zinakwenda wapi?.​
 
lABDA WAO KAMA WANA ACCESS NA MTANDAO WATAKUJIBU. ILA NIJUAVYO SADAKA MWAWEZA KUIELEKEZA KWA KAZI YYTE ILE AMBAYO NI MIONGONI MWA ZILE AMBAZO MUNU AMEAGIZA KAMA KUTAZAMA WAGOJWA, KUSAIDIA YATIMA NA WAJANE NA HATA KUTEMBELEA WAFUNGWA
 
Jana nilikuwa naangalia matukio katika kijiji cha Mama Shujaa wa Chakula pale Maisha Plus, kwa maana ya matukio yaliyojiri siku ya J'2. Nikaona ya kwamba ilikuwa ni siku ya Ibada kwa Wakristo na nikaona kuna Misa kama Mbili (2) tofauti zilifanyika.

Nataka kujua SADAKA zao wale Wamama zinatumikaje na zinakwenda wapi?.​

Alafu ukishajua??
 
Back
Top Bottom