Sasa wazazi wao wachukuliwe hatua kwa lipi, kama maisha magumu sasa waibe ili wachomwe moto, Kandoro na wewe unaanza kufulia kimawazo mimi nilitegemea unasema unawarudisha shule na serikali itawalipia ada tena wazazi walioshindwa waendelee naona hapo ulichofanya sawa sawa na hakuna. Serikali imekufa na imeua uchumi na wananchi sasa hawawezi hata kuendesha maisha yao. Yaani hii serikali basi tu, ningekuwa na uwezo ningeingamiza yote any way Mungu atuhurumie