Akizungumza katika mahojiano ya kipindi cha Clouds 360, Kamanda wa Polisi Kinondoni, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Mtatiro Kitinkwi ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limejipanga vizuri kwa ajili ya uchaguzi kuhakikisha usalama na kuwa uchaguzi unafanyika kwa amani
"Na yote hii ni kuwahakikishia Wana- Dar es Salaam kwamba uchaguzi uende salama kama ulivyopangwa na kukusudiwa bila mtu yoyote kuleta vitisho au kumzuia mwananchi kutoka eneo moja kwenda lingine kutekeleza haki yake ya kikatiba"- Kamanda wa Polisi Kinondoni SACP, Mtatiro Kitinkwi
Soma pia GE2025 - SACP Mtatiro Kitinkwi: Makosa ya kiuchochezi Mitandaoni hayavumiliki, ukihusika unashughulikiwa kisheria
"Na yote hii ni kuwahakikishia Wana- Dar es Salaam kwamba uchaguzi uende salama kama ulivyopangwa na kukusudiwa bila mtu yoyote kuleta vitisho au kumzuia mwananchi kutoka eneo moja kwenda lingine kutekeleza haki yake ya kikatiba"- Kamanda wa Polisi Kinondoni SACP, Mtatiro Kitinkwi
Soma pia GE2025 - SACP Mtatiro Kitinkwi: Makosa ya kiuchochezi Mitandaoni hayavumiliki, ukihusika unashughulikiwa kisheria