mbatombato
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 441
- 245
Wewe mwenyewe njaa kali unaishi kwa bk7 na kusifia ujinga
Inawezekana ni kweli najisifia ujinga na ninaishi kwa Buku 7 kama ulivyosema.. sikubishii
Ila naomba nikukumbushe hizi Tano (5) Kali of all time: (VIGEUGEU ORIGINAL)
1. Nawashangaa wanaowachoma moto Vibaka na kumuacha Lowassa akitanua mitaani - Freeman Aikaeli Mbowe;
2. Anayemuunga mkono Lowassa akapimwe akili haraka - Mch. Peter Msigwa
3. Nina ushahidi wa kutosha kuhusiana na Wizi na Ufisadi wa Lowassa na Rostam - John Mnyika.
4. CCM wamempatia Fisadi Lowassa fomu ya kugombea urais. Ni hatari sana - Tundu Lissu.
5. Nimesema kama UKAWA tutamsimamisha fisadi , mna haki ya kututosa - Halima mdee
plzzz nakuomba usibishe mkuu!!! chonde chonde...