Sabena Bus,yaua!

Sabena Bus,yaua!

Duh! Hivi hawa madereva wanakuwaga na sifa stahili kweli au wa kuunga unga tu? Poleni sana waathirika na Marehemu mpumzike kwa amani.
 
So sad!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Dah inasikitisha sana...na hao wazungu wakijipitia tu naona nao wamepitiwa!! Kweli kifo tunatembea nacho...RIP wote marehemu
 
RIP marehemu wote ila majeruhi pamoja huyo farasi nawaombea wapone haraka
 
RIP marehemu, hii kampuni ya sabena mwenzi wa 7 au 8 hivi iliua watu karibia 1o ikielekea mbeya, tukaambiwa imefungiwa na mmiliki kakamatwa, hivi ilifungiwa mbeya tu au kote na kama ni maeneo yote iliruhusuwa lini?

Mkuu siasa za bhongo, unafungiwa then unatoa mlungula unarud kazn, mana wakuu na wamilik wana share hsa, mhmu serkal ya ccm imeshndwa kupunguza ajal 2015 Tujpange.
 
Back
Top Bottom