SABC1,2,3&eTV

SABC1,2,3&eTV

Datus

Member
Joined
Nov 24, 2009
Posts
10
Reaction score
1
Wadau heshima kwenu, naomba msaada, mwaka jana mwanzoni nilikuwa napata channel za South africa SABC1,2,3 & eTV local for free, baadaye nikawa sizipati tena, kuna fundi alikuja akasema nifunge RNB ya pili kwenye dish yangu lkn bado haikusaidia, je kuna mwenye ufahamu anisaidie jinsi ya kuendelea kuzipata?
 
Wadau heshima kwenu, naomba msaada, mwaka jana mwanzoni nilikuwa napata channel za South africa SABC1,2,3 & eTV local for free, baadaye nikawa sizipati tena, kuna fundi alikuja akasema nifunge RNB ya pili kwenye dish yangu lkn bado haikusaidia, je kuna mwenye ufahamu anisaidie jinsi ya kuendelea kuzipata?



mkuu sabc unaweza etv ningum kupata
 
kwa experience yangu ya zamani ya kutumia hizi dish,huwa zina kubali kwa kipindi fulani then zina kata kwa kipindi fulani sa zingine unakuta zina shika usiku lakini mchana holla.Tafuta fundi mzuri atakurudishia
 
Wadau heshima kwenu, naomba msaada, mwaka jana mwanzoni nilikuwa napata channel za South africa SABC1,2,3 & eTV local for free, baadaye nikawa sizipati tena, kuna fundi alikuja akasema nifunge RNB ya pili kwenye dish yangu lkn bado haikusaidia, je kuna mwenye ufahamu anisaidie jinsi ya kuendelea kuzipata?

Hapo kwenye RNB ndiyo tatizo labda ufunge LNB au KU unaweza kupata hizo Chaneli. Mcheki huyu mkuu Arselona
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom