donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
SureJF imekuwa kama instagram nayo sasa. Soon kwenye comments tutaanza kuona matangazo ya vumbi la congo na waganga wa kienyeji kama mods wakifungia macho hawa watu.
SureJF imekuwa kama instagram nayo sasa. Soon kwenye comments tutaanza kuona matangazo ya vumbi la congo na waganga wa kienyeji kama mods wakifungia macho hawa watu.
Yamejaa ufedhuli tu yaaniJPM hawa wahuni sijui alikuwa anawapendea kitu gani, maana alijaza majambazi kila kona
hahaha kama vifurushi ni bei chee namna hii kwanini wewe huvitumii na unatumia namba ya simu ya nje ya nchi??Nakuunga na kifurushi Bei ndogo sana,
kuanzia GB 85 Miezi 3 Hadi GB 390 kwaMiezi 12, kukiwemo na dakika zakumwaga mitandao Yote,
Pia Nakuunga na vifurushi vya AZAM Tv MIEZI 3
DSTv MIEZI 3
STARTIMES MIEZI 3
UNAPATA CHANEL ZOTE KWA PAMOJA
PIA TUNAHACK MESSAGE & CALL
+1360 351 4868
JPM hawa wahuni sijui alikuwa anawapendea kitu gani, maana alijaza majambazi kila kona
Dah huyu jamaa alinidhalilisha sana. Sjui kwa nn aliamua kunifanyia hvo. Wakat sjawah shiriki kwenye vikund vya siasa. Ila saahiz ukimuona anatia huruma sana bwana Sabaya
Labda na yeye alikuwa kubwa laoJPM hawa wahuni sijui alikuwa anawapendea kitu gani, maana alijaza majambazi kila kona
Hivi katika uongozi wake aliishia kutesa tu watu bila kutatua kero zao?Sabaya afungwe maana katesa sn watu
Kakonko Au Temeke???Nikikumbuka alichonitendea Lusubilo J. Mwakabibi nachagua kukaa kimya tu, sikuwahi kuwa na roho ya kisasi ila mabaya ya kuwakuta hawa mafedhuli kamwe hayatonipa huzuni
Alikuzaba vibao vingapIlikuwa 2019 maeneo ya kwa sadala wilayani Hai kule kilimanjaro. Baada ya mkutano wa sambaratisha CHADEMA akiwa na wenzake Sabaya huenda alinifananisha na adui yake kisiasa. Aliniita kwenye gari lake pindi alivyomaliza mkutano. Aliniuliza maswali kadhaa kuhusu mikakati inayofanyika na CHADEMA huko maeno ya boma Ng'ombe, sasa nilikataa maana sikuwa najua lolote.
Ile sijakaa sawa aliniziba kibao cha usoni huku baadhi ya watu wakishangaa. Sikuwahi kuwa CHADEMA wala kujihususha na siasa. Nilisikitika na kulaani hilo tukio la kuaibishwa mbele ya umati. Sabaya akawasha ndinga lake v8 nyeusi huyo akatokomea.
Sabaya alivyokamatwa nilishangilia sana na kushukuru mtesi wangu huyu sasa apate cha moto kwa uonevu. Lakini hivi sasa nimejikuta namuonea huruma sana Sabaya, tumeumbwa kutolipiza. Koroho safi namuombea Sabaya anusurike na haya matatizo, kwani naamini kashajifunza sana na anayajutia aliyowahi yatenda.
Nimemsamehe kabisa kwa moyo mweupe Sabaya.
Mkuu unazabwa makofi kama kawaida, utajichekeleza na kuondoka ukijipukuta vumbi na hauwezi kufanya chochote.Sasa anakunasaje vibao bila kosa na wewe unamuangalia tu?! Ningekua mimi leo ningeshaua na mm nafia jela au tushazikwa wote
Amini usiamini, kwa lofa kama Sabaya ninavomjua anichape kibao na nipo kwenye upeo wa 18 zangu nakuhakikishia ningempa mbata hilo potelea pote. Mkuu unafikiri kila mtu anaogopa mahabusu au je? Hamza alibeba SMG mchana kweupe na hakuogopa kitu.Mkuu unazabwa makofi kama kawaida, utajichekeleza na kuondoka ukijipukuta vumbi na hauwezi kufanya chochote.
Kila sehemu mkuu wa wilaya anapokwenda huwa anatembea na timu yake ya ulinzi na usalama inayojumuisha DAS, msh JA, OCD,DSO na kakundi ka polisi wachache wenye silaha na pingu pamoja na mgambo viherehere, huwa hatembei peke yake.
Unapozabuliwa vibao na kuonesha kiburi ama hasira, utashangaa unavyopigwa kipopopo na mgambo viherehere wanaotaka sifa.
Fahamu na hasira zitakapokushuka utajikuta unachungulia kwenye tundu dogo la selo, uanze juhudi za kubembeleza kutolewa.
Tofari la chuki ulilolijenga moyoni litabomolewa pindi utapotolewa ndani na kuambiwa umesamehewa na usirudie tena ujinga wako.
Teh teh! Nimecheka sana waalah!Amini usiamini, kwa lofa kama Sabaya ninavomjua anichape kibao na nipo kwenye upeo wa 18 zangu nakuhakikishia ningempa mbata hilo potelea pote. Mkuu unafikiri kila mtu anaogopa mahabusu au je? Hamza alibeba SMG mchana kweupe na hakuogopa kitu.
Inapokua suala la kulinda na kutetea haki aisee dont underestimate response/reaction ya mtu.
Mzee ruksa mwenyew alikula kelbu sembuse sabaya?!?
Hivi si ni leo walisema hukumu yake, imekwendaje?Ilikuwa 2019 maeneo ya kwa sadala wilayani Hai kule kilimanjaro. Baada ya mkutano wa sambaratisha CHADEMA akiwa na wenzake Sabaya huenda alinifananisha na adui yake kisiasa. Aliniita kwenye gari lake pindi alivyomaliza mkutano. Aliniuliza maswali kadhaa kuhusu mikakati inayofanyika na CHADEMA huko maeno ya boma Ng'ombe, sasa nilikataa maana sikuwa najua lolote.
Ile sijakaa sawa aliniziba kibao cha usoni huku baadhi ya watu wakishangaa. Sikuwahi kuwa CHADEMA wala kujihususha na siasa. Nilisikitika na kulaani hilo tukio la kuaibishwa mbele ya umati. Sabaya akawasha ndinga lake v8 nyeusi huyo akatokomea.
Sabaya alivyokamatwa nilishangilia sana na kushukuru mtesi wangu huyu sasa apate cha moto kwa uonevu. Lakini hivi sasa nimejikuta namuonea huruma sana Sabaya, tumeumbwa kutolipiza. Koroho safi namuombea Sabaya anusurike na haya matatizo, kwani naamini kashajifunza sana na anayajutia aliyowahi yatenda.
Nimemsamehe kabisa kwa moyo mweupe Sabaya.
Kama vipi wafungwa wote waachiwe au vipi mkuu tuwasameheIlikuwa 2019 maeneo ya kwa sadala wilayani Hai kule kilimanjaro. Baada ya mkutano wa sambaratisha CHADEMA akiwa na wenzake Sabaya huenda alinifananisha na adui yake kisiasa. Aliniita kwenye gari lake pindi alivyomaliza mkutano. Aliniuliza maswali kadhaa kuhusu mikakati inayofanyika na CHADEMA huko maeno ya boma Ng'ombe, sasa nilikataa maana sikuwa najua lolote.
Ile sijakaa sawa aliniziba kibao cha usoni huku baadhi ya watu wakishangaa. Sikuwahi kuwa CHADEMA wala kujihususha na siasa. Nilisikitika na kulaani hilo tukio la kuaibishwa mbele ya umati. Sabaya akawasha ndinga lake v8 nyeusi huyo akatokomea.
Sabaya alivyokamatwa nilishangilia sana na kushukuru mtesi wangu huyu sasa apate cha moto kwa uonevu. Lakini hivi sasa nimejikuta namuonea huruma sana Sabaya, tumeumbwa kutolipiza. Koroho safi namuombea Sabaya anusurike na haya matatizo, kwani naamini kashajifunza sana na anayajutia aliyowahi yatenda.
Nimemsamehe kabisa kwa moyo mweupe Sabaya.
Sio hivyo mkuu saa nyingine tunasamehe tu. Sabaya anatia huruma sana na bahati mbaya alijizidisha mabaya sana tena kwa watu wengi sana. Atajibu siku ya kiama tu. Sabaya kwa waliokaa Hai ndo wanamjua ubovu wake. Yule jamaa sijui saikolojia yake iliyumba vipi. Ilifikia muda akikugundua wewe ni chadema analamba na wewe sahani moja. Kwangu mimi nilishangaa maana alivonikurupukia wakati sijawahi kuwa mfuasi wa siasa zozote pale Hai.Kama vipi wafungwa wote waachiwe au vipi mkuu tuwasamehe
Na walioko huko sero wanatia huruma mkuu wengine wamekaa huko miaka zaidi ya 20, tuwasamehe wote mkuu watalipa siku ya kiama.Sio hivyo mkuu saa nyingine tunasamehe tu. Sabaya anatia huruma sana na bahati mbaya alijizidisha mabaya sana tena kwa watu wengi sana. Atajibu siku ya kiama tu. Sabaya kwa waliokaa Hai ndo wanamjua ubovu wake. Yule jamaa sijui saikolojia yake iliyumba vipi. Ilifikia muda akikugundua wewe ni chadema analamba na wewe sahani moja. Kwangu mimi nilishangaa maana alivonikurupukia wakati sijawahi kuwa mfuasi wa siasa zozote pale Hai.
Sio kwa kusema wasamehewe wafungwa wote la hasha. Siko hapa kumuombea sabaya aachiwe na jamuhuri. Mimi nazungumzia tu upande wangu kuwa nimesamehe kwa ile dharau na udhalilishaji aliowahi kunitendea wakati sikuwa na kosa lolote ila hisia zake zilimtumaje sjui. Yeye akibambwa na majanga yake huko na akahukumiwa ni shauli yake lakin kiukweli upande wangu nmemsamehe huyu fedhuliNa walioko huko sero wanatia huruma mkuu wengine wamekaa huko miaka zaidi ya 20, tuwasamehe wote mkuu watalipa siku ya kiama.