Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,195
- 2,463
Ntaenda kukopa mkuu. Ndo nyumbani hapo ila stumii hiyo benki
Ukifika mkuu piga kapicha huyo mdada then rushia huku....ili watu waone hii bank kuwa sio ya kispotspot!
Ntaenda kukopa mkuu. Ndo nyumbani hapo ila stumii hiyo benki
Speaking of shape.. Kuna mdada huyo alikua crdb ppf tower sijui kama bado yupo maana sijaenda miaka mingi. Alikua na shape moja hatari sana si mchezo. Wazee wa kupimia watakua wanamsoma
Mdada au benki ndo sio wa kispotispoti?Ukifika mkuu piga kapicha huyo mdada then rushia huku....ili watu waone hii bank kuwa sio ya kispotspot!
Kuna mmoja alikua tigo Kahama. Acha tuCrdb kama tigo tu, wale mabinti wa tigo sijui wanawatoleaga wapi, saa ingine najitengenezea tatizo naenda zangi tigo niwaone tuu yaan
Unaongelea zamani nadhaniStaff wa NMB wengi ni wachafu karibia branch zote za nmb nilizowahi kufika hazina mvuto kuanzia ofisi mpk wafanyakazi wake,mazingira machaaafuuuuu....benki kama ghala la korosho.
NBC wanavaa hadi kata kwe Ndo Umenena Hawa wengine wananyapia nyapia tu hakuna Bank ambayo watu hawapo Smart
Utakua unamaanisha NBC?Arusha jamani too much unaweza ukaingia bank ukafikiri umeingia kwenye nyumba ya msiba, kwanza wafanyakazi wenyewe wana hasira, mizee tupu unamuuliza hiki anajibu kile, wanafurahi sana wanapoona watu wamepanga foleni.
Hujafika NBC Arusha weweMkuu, labda ilikuwa zamani sio sasa.
Kupata ATM Card NBC inachukua dakika kumi tu. CRDB ni week mbili hadi miezi. NMB pia wanachukua muda mwingi tu.
Kuweka au kutoa pesa ndani, huitaji kujaza fomu siku hizi. Nenda dirishani na account number yako na bila shaka na Card yako. Bado CRDB na NMB lazima ujaze fomu, mambo ya kijima hayo.
Lakini lazima niseme ukweli, NBC wana tatizo la mtandao ambalo pia hutokea CRDB na NMB.
Jambazi nakuomba huku chemba umesema ulipewa escot?Miss chaga njoo huku umuone bilionea jambing'o.
NBC unayotaja sio ya ArushaBank ya ovyo kabisa.
Kubadili ATM card inachukua week mbili hadi miezi. NBC unapewa within 10 minutes!
Wanajinadi kwa slogan: The Bank that listens. Labda wanasikiliza mwangwi wao! Karne ya leo kubadili ATM card week mbili?
Ku deposit au kuchukua hela mpaka ujaze form. NBC siku hizi unaenda counter na number ya account tu au ATM card yako unataja kiasi unachochukua.
NBC na kisirani chao hawawezi hilo.Si nmesikia NBC ndo wanainunua Barclays Africa, sizan kama wanafilisika ila pengine staffs hawajisikii nyumban wakiwa kweny AC za NBC
Sasa smartness gani hio inayotokana. na huduma inayotolewa? huduma itakua ni. quality service hakuna kitu kama smart service kama vipi weka hio picha ya smart officials wa CRDB
Mtoa mada ametoa hadi mfano wa T-shirts wanazogaiwa wafanyakazi Crdb, hapo unafikiri mtu atawaza neno smart limetumika kama ulivyolielezea?Ninashangaa sana kwamba wewe unafikiria kuwa smart ni kuvaa au muonekano ambao unaweza kupiga picha na kuuingiza JF. Smartness comes from the way you offer a setvice: understanding what the customer needs and getting him his need in a way he/she appreciates! Do not comment on sthg you do not understand! We are talking of soft issues, and your mind is looking hard, not soft, not digital! You simply do not like CRDB or you are bought by a competitor yo CRDB!
Kama ha comment anabaki New memberHawa JF mie mbona siwaelewi? yaani mtu umejiunga na JF 11/8/2009 hadi leo bado unaitwa NEW MEMBER!!!!
Kuna moja ipo dar post ya zamani nilienda kufungua acaunt ya sim pesa kuna mdada mmoja alinihudumia nikatamani asimalize kuni reg..
Nikatoa kama mil 10 mananger akaniita akaniambia atanipa ulinzi wa skoti ya polis nikamwambia hapana nitafika