sababu zilivoanzisha vurugu katika kijiji cha Ndago jimbo la Iramba magharibi mkoani Singida

S2dak_Jr

Senior Member
Jul 15, 2012
198
45
Asubuhi naamka na kwenda kazini na kukuta Hiace inayomilikiwa na mtu anayeitwa California ikiwa imepaki.

Mara naona vijana wanaofanya kazi katika shimo la dhahabu la mtu aitwaye Omary wakielekea kwenye Hiace hiyo na kupanda.

Niliposogea, niliona vijana hao wakiwa wanavuta Bangi huku wakiwa wamewasha udi.

Mara gari liliondoka na lilipofika Misigiri likapaki kwenye Bar/Grocery moja iitwayo Manka. Hapa vijana walianza kunywa pombe aina ya Konyagi. Na baada ya muda gari liliondoka na kuelekea Ndago.

MAHUSIANO YA WACHIMBAJI HAO NA MH. MWIGULU.

Itakumbukwa kuwa eneo la Mgodi wa Mgongo/Sekenke lilikuwa na mgogoro kati ya wachimbaji hao na mtu mmoja anayeitwa John Binna. Huu mgogoro ulirushwa kwenye Media mbalimbali ikiwemo TBC kama mtakumbuka.

Mgogoro huu uliingiliwa Mh. Mwigulu na kuamuru Mgodi hao wa dhahabu uchimbwe na WAPIGA KURA WAKE.

Hivyo hata leo Mh. Mwigulu akija na kuwaambia twendeni Ndago mkafanye fujo, sidhani kama wachimbaji watakataa.

Punde nitawaletea picha za gari, eneo lao la kazi, vijana na Bar waliyokuwa wanakunywa Konyagi.

Source: nilikuwepo eneo la mgodini.



UPDATES NEWS FROM Mkuu T.2015.CDM

*NI KATIKA MKUTANO WA MNYIKA,MWENYEKITI WA KATA UVCCM AUAWA,18 WAJERUHIWA

Raymond Kaminyoge, Dar na Gasper Andrew, Singida VURUGU kubwa zilizotokea kwenye mkutano wa hadhara zikiwahusisha wafuasi wa Chadema na CCM zimesababisha kifo cha Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM) wa Kata ya Ndago, wilayani Iramba, Yohana Mpinga (30) na majeruhi mmoja.Wafuasi hao wa Chadema na CCM walishambuliana kwa kutumia silaha za jadi ikiwamo mawe, wakati wa mkutano wa hadhara uliokuwa unahutubiwa na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika.Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida, Linus Sinzumwa alithibitisha kutokea kwa vurugu hizo na kifo cha mwenyekiti huyo baada ya kupigwa kwa silaha za jadi.Kamanda Sinzumwa alifafanua kwamba, kutokana na tukio hilo, jeshi hilo linawashikilia watu 18 wa kata hiyo kwa mahojiano zaidi na watakapobainika kuhusika na ghasia hizo watafikishwa mahakamani.Alisema majeruhi huyo wa vurugu hizo anayejulikana kwa jina la Ramadhani Hussein (27), amelazwa katika Kituo cha Afya cha Ndago baada ya kujeruhiwa vibaya.

"Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Julai 14 mwaka huu saa 10 alasiri katika Kijiji cha Ndago," alisema Kamanda.Alisema siku ya tukio, Chadema kilikuwa na kibali cha kufanya mkutano wa hadhara katika kijiji hicho na mgeni rasmi alikuwa Mbunge Mnyika.Kamanda Sinzumwa alisema kuwa, baada ya Chadema kuanza mkutano huo, viongozi wake walianza kutoa kashfa mbalimbali dhidi ya Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi (CCM), Mwingulu Nchemba.

Alisema kitendo hicho kiliwaudhi baadhi ya watu waliokuwa wamehudhuria mkutano huo."Wananchi hao walichukizwa na kitendo cha kukashifiwa mbunge wao na walianza kupiga kelele kuwa hawataki mbunge wao akashifiwe na badala yake, wakawataka Chadema wawe wanaeleza sera zao na si vinginevyo," alisema.Kamanda huyo alisema licha ya tahadhari hiyo, viongozi hao waliendelea kueleza kashfa za Mbunge Nchemba na ndipo vurugu zilipoanza.

Alifafanua kwamba, vurugu hizo zilianza baada ya wafuasi wa CCM waliokasirishwa na kashfa zilizokuwa zikitolewa na viongozi wa Chadema kuanza kuwarushia mawe wafuasi wa Chadema. Kamanda Sinzumwa alisema askari polisi wachache waliokuwapo, walizidiwa nguvu na makundi hayo."Huyu Mwenyekiti wa Vijana wa CCM, Yohana alikimbilia kwenye nyumba ya Mwalimu Shume Manase ili kuokoa maisha yake, lakini kundi la wafuasi wa Chadema wakiwa wamebeba fimbo na mawe, walimpiga sehemu mbalimbali mwilini na kusababisha kifo chake papo hapo," alisema.

Kamanda huyo alisema licha ya watuhumiwa 18 kukamatwa, polisi bado inaendelea na msako wa kuwatafuta watu wengine waliohusika katika tukio hilo ili wafikishwe mahakamani.Kauli ya MnyikaAkizungumzia vurugu hizo, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika alisema mbinu chafu zinazotumiwa na CCM za kupiga mawe mikutano yao ya hadhara kamwe haitakidhoofisha chama chao katika harakati zake za kuwakomboa wananchi kutoka katika maisha magumu.

Mnyika alisema amefurahi kufika katika jimbo hilo la Mbunge Nchemba kwa sababu ya propaganda zake, ambazo amekuwa akizitoa bungeni na alivyofanya ziara kwenye jimbo lake la Ubungo na kuwahutubia watu wa Manzese.Mnyika alisema wakati wowote kuanzia sasa viongozi wa juu wa chama hicho watafanya ziara kwenye kata zote za Mkoa wa Singida ili, kuwafahamisha wananchi hatua za kuchukua katika uchaguzi ujazo


Mbunge wa jimbo la Ubungo jijini Dar-es-salaam,John Mnyika,kizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofayika juzi katika kijiji cha Ndago jimbo la Iramba magharibi mkoani Singida
 
Last edited by a moderator:
Mmeua badala ya kutubu kwa muumba wenu mnaendesha kampeni ya umbeya. Damu ya Ndago haitafutika kwa kuongeza dhambi.
 
Kweli haishindwi KAMWE! Marekani pamoja na mamia ya Intelligence agencies na technology ya kutisha dunia nzima lakini issue ya Irak iliwaumbua! KWELI NI KWELI TU!
 
Hawa ccm ni janga kubwa sana kwa Taifa letu,lakini mwisho wao utakuwa mbaya sana
Tumwombeni MUNGU atuepushe na mambo ya fujo wanayotaka kuanzisha maana hata fujo yenyewe hawataiweza tu ila wanatapatapa tu.

Wafuatilie kwa makini na usisite ku2juza wanachotaka kufanya!
 
Mmeua badala ya kutubu kwa muumba wenu mnaendesha kampeni ya umbeya. Damu ya Ndago haitafutika kwa kuongeza dhambi.

mwingulu tangia jana unajitetea tu humu kwa kugeuza tuhuma.

Hivi mwenyekiti wa vijiana ccm kwenye mkutano wa cdm alifuata nini?

Kwa nini unapanga fujo kwenye mikutano ya wenzio, huo ni udhaifu na hofu ya kutojiamini.

Mchumi daraja la kwanza anaye amini kwenye fujo na umwagaji damu na hii laana itakutesa.
 
mwingulu tangia jana unajitetea tu humu kwa kugeuza tuhuma.

Hivi mwenyekiti wa vijiana ccm kwenye mkutano wa cdm alifuata nini?

Kwa nini unapanga fujo kwenye mikutano ya wenzio, huo ni udhaifu na hofu ya kutojiamini.

Mchumi daraja la kwanza anaye amini kwenye fujo na umwagaji damu na hii laana itakutesa.

sijafanikiwa kuona anapojitetea au kutoa shutuma, mkuu tafadhali ukiona uzi wa mwigulu uni-tag nimrushie makombora.
Anachofanya mwigulu ni kuwaaminisha wananchi kuwa upinzani ni kosa!

Hajifunzi kwa Bernad Membe!!! Aliyekula na kunywa pamoja na wanasiasa wenzake kutoka chama cha chadema pale walipokwenda kufanya siasa si tu jimboni bali kijini kwake kabisaaa!!!!? Pale Mtama.
Inabidi hatua za haraka zichukuliwe dhidi ya mwigulu asiendelee kuambukiza akili za kizezeta kwenye taasisi zetu za serikali.
Analidhalilisha jeshi la polisi.
 
tunasikia walimfukuza mpaka ndani ya nyumba, kuua kwa kukusudia. Kwani yeye kuwepo kwenye mkutano wa chadema ni dhambi!
 
Mmeua badala ya kutubu kwa muumba wenu mnaendesha kampeni ya umbeya. Damu ya Ndago haitafutika kwa kuongeza dhambi.

yaani inawezekanaje uandae mkutano halafu uuwe watu mbele ya police? nisaidie sababu ambazo utaweza kunishawishi kwamba wewe unataka kuowa halafu unawaaika upande wa ukweni then unamuuwa mjomba je utowa huyo mke?

ukweli utakuja tu kama wa kova mambo yako wazi sasa mkenya ni kichaa
 
Asubuhi naamka na kwenda kazini na kukuta Hiace inayomilikiwa na mtu anayeitwa California ikiwa imepaki.

Mara naona vijana wanaofanya kazi katika shimo la dhahabu la mtu aitwaye Omary wakielekea kwenye Hiace hiyo na kupanda.

Niliposogea, niliona vijana hao wakiwa wanavuta Bangi huku wakiwa wamewasha udi.

Mara gari liliondoka na lilipofika Misigiri likapaki kwenye Bar/Grocery moja iitwayo Manka. Hapa vijana walianza kunywa pombe aina ya Konyagi. Na baada ya muda gari liliondoka na kuelekea Ndago.

MAHUSIANO YA WACHIMBAJI HAO NA MH. MWIGULU.

Itakumbukwa kuwa eneo la Mgodi wa Mgongo/Sekenke lilikuwa na mgogoro kati ya wachimbaji hao na mtu mmoja anayeitwa John Binna. Huu mgogoro ulirushwa kwenye Media mbalimbali ikiwemo TBC kama mtakumbuka.

Mgogoro huu uliingiliwa Mh. Mwigulu na kuamuru Mgodi hao wa dhahabu uchimbwe na WAPIGA KURA WAKE.

Hivyo hata leo Mh. Mwigulu akija na kuwaambia twendeni Ndago mkafanye fujo, sidhani kama wachimbaji watakataa.

Punde nitawaletea picha za gari, eneo lao la kazi, vijana na Bar waliyokuwa wanakunywa Konyagi.

Source: nilikuwepo eneo la mgodini.

Mhhh! itakuwa ngumu kuwaaminisha akina Burn Karudi, Ritz, masopakyindi, Tume ya Katiba, MAFILILI, Mwigulu LM Nchemba.
hebu iweke hii taarifa yako kama ushahidi
 
Last edited by a moderator:
Asubuhi naamka na kwenda kazini na kukuta Hiace inayomilikiwa na mtu anayeitwa California ikiwa imepaki.

Mara naona vijana wanaofanya kazi katika shimo la dhahabu la mtu aitwaye Omary wakielekea kwenye Hiace hiyo na kupanda.

Niliposogea, niliona vijana hao wakiwa wanavuta Bangi huku wakiwa wamewasha udi.

Mara gari liliondoka na lilipofika Misigiri likapaki kwenye Bar/Grocery moja iitwayo Manka. Hapa vijana walianza kunywa pombe aina ya Konyagi. Na baada ya muda gari liliondoka na kuelekea Ndago.

MAHUSIANO YA WACHIMBAJI HAO NA MH. MWIGULU.

Itakumbukwa kuwa eneo la Mgodi wa Mgongo/Sekenke lilikuwa na mgogoro kati ya wachimbaji hao na mtu mmoja anayeitwa John Binna. Huu mgogoro ulirushwa kwenye Media mbalimbali ikiwemo TBC kama mtakumbuka.

Mgogoro huu uliingiliwa Mh. Mwigulu na kuamuru Mgodi hao wa dhahabu uchimbwe na WAPIGA KURA WAKE.

Hivyo hata leo Mh. Mwigulu akija na kuwaambia twendeni Ndago mkafanye fujo, sidhani kama wachimbaji watakataa.

Punde nitawaletea picha za gari, eneo lao la kazi, vijana na Bar waliyokuwa wanakunywa Konyagi.

Source: nilikuwepo eneo la mgodini.
ok, kumbe ndio maana viongozi wa cdm mliamuru kuua na washabiki wenu wakatekeleza hvy kwa ushahidi wako2 ninyi cdm ndy wauwaji.
u
 
ok, kumbe ndio maana viongozi wa cdm mliamuru kuua na washabiki wenu wakatekeleza hvy kwa ushahidi wako2 ninyi cdm ndy wauwaji.
u

Na hayo ndio malengo makuu ya Mwigulu na CCM kwa ujumla kusababisha mauaji ili CDM ichafuke mbele ya umma ila tambueni kuwa siku zenu zinahesabika .
 
Na hayo ndio malengo makuu ya Mwigulu na CCM kwa ujumla kusababisha mauaji ili CDM ichafuke mbele ya umma ila tambueni kuwa siku zenu zinahesabika .

Hukumu ya wauaji wa CDM ni wao pia kuuwawa, kwani CDM wameishafanya mauaji mengi sana , sasa uvumilivu basiiii

 
Inatakiwa wampeleke Kova na yule Askofu ili wakafanye intelijensia wamkamate muuaji!!!
 
Back
Top Bottom