Sababu zangu za kuamua kujiunga na CCM

Sababu zangu za kuamua kujiunga na CCM

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
3,661
Reaction score
6,637
Salamu kwenu wote.

Nianze kwa kusema kuwa sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hadi sasa na kwa kweli sijawahi kuwaza kuwa nitakuja kuwa mwanachama wa CCM. Mimi ni mfuatiliaji wa siasa kiujumla, kwa maana ya general political discussions', za ndani na za kimataifa.

Mara ya kwanza na ya mwisho kupiga kura katika chaguzi za Tanzania ilikuwa 1995 pale nilipompa kura yangu Augustine Mrema, wakati huo akiwa NCCR-Mageuzi. Katika nyuzi zangu nyingi tu za nyuma nimekuwa 'critical' siyo tu kwa CCM na utendaji wa majukumu ya serikali pamoja na jinsi wanavyoendesha siasa lakini pia siku zote nimekuwa mkosoaji wa udhaifu na makosa wanayofanya wapinzani. Vyama vya upinzani vina udhaifu mkubwa ambao ukiwa na uelewa ni ngumu sana kuvipigania.

Baada ya huo utangulizi, ngoja niende sasa kwenye mada kuu.

Ki ukweli huu mfumo wa demokrasia kiujumla unaojaribu kuupractice (kuanzia uhuru wa kutoa maoni yako na hadi mfumo wa vyama vingi) unapata changamoto kubwa na mimi kwa maoni yangu ni kwa sababu elimu ya HAKI na WAJIBU wa kila mtanzania haikufundishwa na kufanywa kuwa sehemu ya DNA yetu. Hili ni jambo muhimu sana. Hii ndiyo inaleta matatizo katika ofisi za umma na hata binafsi, utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya kijamii, upambanaji wa rushwa, utendaji katika vyombo vya usalama kama polisi, siasa zetu, nk.

Nakwenda CCM kwa sababu ni ngumu sana kufanya siasa za upinzani Tanzania ukiwa tu defensive, utaumia tu, au kwa lugha ya kigogo, utapata tabuuu sana. Niliwahi kulisema sana huko nyuma.

Naenda CCM kujaribu kumuelimisha Mtanzania ajue Haki na Wajibu wake kama Mtanzania. Hilo litakuwa lengo langu kuu. Najua Mtanzania akielimika kwenye hili, atakuwa kiongozi bora pale atakapopewa majukumu ya kiuongozi, atakuwa mpiga kura bora mwenye uwezo wa kupambanua mambo mbalimbali ya kijamii na kitaifa lakini pia akipigania mawazo yake kwa nguvu zake zote huku vyombo vya kumlinda vikifanya kazi zake kwa uhuru, atakuwa baba na mama bora, atakuwa mtoto na kijana bora mwenye maono na malengo chanya, atakuwa jirani bora, atakuwa polisi bora mwenye kuheshimu haki za raia na kutambua wajibu wa wake na wa raia, atakuwa mfanyabiashara mzalendo anayeheshimu sheria za nchi na kanuni za kazi yake lakini pia anayejua haki zake na kuna vyombo vya kumlinda na kumpigania, nk.

Siendi CCM kuunga mkono juhudi! Naenda huko kumbadilisha Mtanzania, one at a time. Nina mawazo mengi ila nahitaji platform sahihi itakayonisaidia nisikike na mawazo yangu yafanyiwe kazi.

Napeleka siasa mpya ndani ya CCM. Ni matumaini yangu nitapokelewa vizuri!
 
Mkuu kwa maisha ya huku mtaani yalivyo magumu kama unaroho ya kike lazima uunge juhudi za kuwapiga watu risasi tuu maana utakuwa shoga huku mtaa usipokuwa makin kwhiyo nakupongeza kwa maamzi yako ya kike.... Sisi wanaume tunaopambana usiku na mchana kupinga ujiwe bado tunasonga mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu kwenu wote.

Nianze kwa kusema kuwa sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hadi sasa na kwa kweli sijawahi kuwaza kuwa nitakuja kuwa mwanachama wa CCM. Mimi ni mfuatiliaji wa siasa kiujumla, kwa maana ya general political discussions', za ndani na za kimataifa.

Mara ya kwanza na ya mwisho kupiga kura katika chaguzi za Tanzania ilikuwa 1995 pale nilipompa kura yangu Augustine Mrema, wakati huo akiwa NCCR-Mageuzi. Katika nyuzi zangu nyingi tu za nyuma nimekuwa 'critical' siyo tu kwa CCM na utendaji wa majukumu ya serikali pamoja na jinsi wanavyoendesha siasa lakini pia siku zote nimekuwa mkosoaji wa udhaifu na makosa wanayofanya wapinzani. Vyama vya upinzani vina udhaifu mkubwa ambao ukiwa na uelewa ni ngumu sana kuvipigania.

Baada ya huo utangulizi, ngoja niende sasa kwenye mada kuu.

Ki ukweli huu mfumo wa demokrasia kiujumla unaojaribu kuupractice (kuanzia uhuru wa kutoa maoni yako na hadi mfumo wa vyama vingi) unapata changamoto kubwa na mimi kwa maoni yangu ni kwa sababu elimu ya HAKI na WAJIBU wa kila mtanzania haikufundishwa na kufanywa kuwa sehemu ya DNA yetu. Hili ni jambo muhimu sana. Hii ndiyo inaleta matatizo katika ofisi za umma na hata binafsi, utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya kijamii, upambanaji wa rushwa, utendaji katika vyombo vya usalama kama polisi, siasa zetu, nk.

Nakwenda CCM kwa sababu ni ngumu sana kufanya siasa za upinzani Tanzania ukiwa tu defensive, utaumia tu, au kwa lugha ya kigogo, utapata tabuuu sana. Niliwahi kulisema sana huko nyuma.

Naenda CCM kujaribu kumuelimisha Mtanzania ajue Haki na Wajibu wake kama Mtanzania. Hilo litakuwa lengo langu kuu. Najua Mtanzania akielimika kwenye hili, atakuwa kiongozi bora pale atakapopewa majukumu ya kiuongozi, atakuwa mpiga kura bora mwenye uwezo wa kupambanua mambo mbalimbali ya kijamii na kitaifa lakini pia akipigania mawazo yake kwa nguvu zake zote huku vyombo vya kumlinda vikifanya kazi zake kwa uhuru, atakuwa baba na mama bora, atakuwa mtoto na kijana bora mwenye maono na malengo chanya, atakuwa jirani bora, atakuwa polisi bora mwenye kuheshimu haki za raia na kutambua wajibu wa wake na wa raia, atakuwa mfanyabiashara mzalendo anayeheshimu sheria za nchi na kanuni za kazi yake lakini pia anayejua haki zake na kuna vyombo vya kumlinda na kumpigania, nk.

Siendi CCM kuunga mkono juhudi! Naenda huko kumbadilisha Mtanzania, one at a time. Nina mawazo mengi ila nahitaji platform sahihi itakayonisaidia nisikike na mawazo yangu yafanyiwe kazi.

Napeleka siasa mpya ndani ya CCM. Ni matumaini yangu nitapokelewa vizuri!
Unachekesha watu walionuna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa maisha ya huku mtaani yalivyo magumu kama unaroho ya kike lazima uunge juhudi za kuwapiga watu risasi tuu maana utakuwa shoga huku mtaa usipokuwa makin kwhiyo nakupongeza kwa maamzi yako ya kike.... Sisi wanaume tunaopambana usiku na mchana kupinga ujiwe bado tunasonga mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
Uamuzi wa mtu kwanini uingize swala la ukike hzo si dharau kwa jinsia yetu ya kike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu kwenu wote.

Nianze kwa kusema kuwa sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hadi sasa na kwa kweli sijawahi kuwaza kuwa nitakuja kuwa mwanachama wa CCM. Mimi ni mfuatiliaji wa siasa kiujumla, kwa maana ya general political discussions', za ndani na za kimataifa.

Mara ya kwanza na ya mwisho kupiga kura katika chaguzi za Tanzania ilikuwa 1995 pale nilipompa kura yangu Augustine Mrema, wakati huo akiwa NCCR-Mageuzi. Katika nyuzi zangu nyingi tu za nyuma nimekuwa 'critical' siyo tu kwa CCM na utendaji wa majukumu ya serikali pamoja na jinsi wanavyoendesha siasa lakini pia siku zote nimekuwa mkosoaji wa udhaifu na makosa wanayofanya wapinzani. Vyama vya upinzani vina udhaifu mkubwa ambao ukiwa na uelewa ni ngumu sana kuvipigania.

Baada ya huo utangulizi, ngoja niende sasa kwenye mada kuu.

Ki ukweli huu mfumo wa demokrasia kiujumla unaojaribu kuupractice (kuanzia uhuru wa kutoa maoni yako na hadi mfumo wa vyama vingi) unapata changamoto kubwa na mimi kwa maoni yangu ni kwa sababu elimu ya HAKI na WAJIBU wa kila mtanzania haikufundishwa na kufanywa kuwa sehemu ya DNA yetu. Hili ni jambo muhimu sana. Hii ndiyo inaleta matatizo katika ofisi za umma na hata binafsi, utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya kijamii, upambanaji wa rushwa, utendaji katika vyombo vya usalama kama polisi, siasa zetu, nk.

Nakwenda CCM kwa sababu ni ngumu sana kufanya siasa za upinzani Tanzania ukiwa tu defensive, utaumia tu, au kwa lugha ya kigogo, utapata tabuuu sana. Niliwahi kulisema sana huko nyuma.

Naenda CCM kujaribu kumuelimisha Mtanzania ajue Haki na Wajibu wake kama Mtanzania. Hilo litakuwa lengo langu kuu. Najua Mtanzania akielimika kwenye hili, atakuwa kiongozi bora pale atakapopewa majukumu ya kiuongozi, atakuwa mpiga kura bora mwenye uwezo wa kupambanua mambo mbalimbali ya kijamii na kitaifa lakini pia akipigania mawazo yake kwa nguvu zake zote huku vyombo vya kumlinda vikifanya kazi zake kwa uhuru, atakuwa baba na mama bora, atakuwa mtoto na kijana bora mwenye maono na malengo chanya, atakuwa jirani bora, atakuwa polisi bora mwenye kuheshimu haki za raia na kutambua wajibu wa wake na wa raia, atakuwa mfanyabiashara mzalendo anayeheshimu sheria za nchi na kanuni za kazi yake lakini pia anayejua haki zake na kuna vyombo vya kumlinda na kumpigania, nk.

Siendi CCM kuunga mkono juhudi! Naenda huko kumbadilisha Mtanzania, one at a time. Nina mawazo mengi ila nahitaji platform sahihi itakayonisaidia nisikike na mawazo yangu yafanyiwe kazi.

Napeleka siasa mpya ndani ya CCM. Ni matumaini yangu nitapokelewa vizuri!
Uahahidi wa rushwa ya ununuzi wa madiwani arumeru ilihitaji elimu ipi kuifanya ccm iishughulikie!?
Huna tofauti na lipumba-vu

Unatumika ku brainwash kaka na dada zako!!
 
Ni ujinga kujidanganya kwamba utawaelimisha Watanzania wakati msingi wa kuwatawala Watanzania ni kuwaacha wabaki wajinga ili uendelee kuwatawala hivi unafikiri kama 90% ya watu wakiwa politically conscious unafikiri CCM itakua wapi?
 
Upuuz tu na kujaza seva za watu. Mwishoni utakuja kusimulia uamuzi wako wa kwenda chooni
 
Uamuzi wa mtu kwanini uingize swala la ukike hzo si dharau kwa jinsia yetu ya kike.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wamefungamanishwa na kuhongwa, bisha kama una hoja!
Ahongwaye aghalabu hufuata matakwa ya muhongaji na kifo cha mende huhitimisha mchezo.
 
Salamu kwenu wote.

Nianze kwa kusema kuwa sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hadi sasa na kwa kweli sijawahi kuwaza kuwa nitakuja kuwa mwanachama wa CCM. Mimi ni mfuatiliaji wa siasa kiujumla, kwa maana ya general political discussions', za ndani na za kimataifa.

Mara ya kwanza na ya mwisho kupiga kura katika chaguzi za Tanzania ilikuwa 1995 pale nilipompa kura yangu Augustine Mrema, wakati huo akiwa NCCR-Mageuzi. Katika nyuzi zangu nyingi tu za nyuma nimekuwa 'critical' siyo tu kwa CCM na utendaji wa majukumu ya serikali pamoja na jinsi wanavyoendesha siasa lakini pia siku zote nimekuwa mkosoaji wa udhaifu na makosa wanayofanya wapinzani. Vyama vya upinzani vina udhaifu mkubwa ambao ukiwa na uelewa ni ngumu sana kuvipigania.

Baada ya huo utangulizi, ngoja niende sasa kwenye mada kuu.

Ki ukweli huu mfumo wa demokrasia kiujumla unaojaribu kuupractice (kuanzia uhuru wa kutoa maoni yako na hadi mfumo wa vyama vingi) unapata changamoto kubwa na mimi kwa maoni yangu ni kwa sababu elimu ya HAKI na WAJIBU wa kila mtanzania haikufundishwa na kufanywa kuwa sehemu ya DNA yetu. Hili ni jambo muhimu sana. Hii ndiyo inaleta matatizo katika ofisi za umma na hata binafsi, utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya kijamii, upambanaji wa rushwa, utendaji katika vyombo vya usalama kama polisi, siasa zetu, nk.

Nakwenda CCM kwa sababu ni ngumu sana kufanya siasa za upinzani Tanzania ukiwa tu defensive, utaumia tu, au kwa lugha ya kigogo, utapata tabuuu sana. Niliwahi kulisema sana huko nyuma.

Naenda CCM kujaribu kumuelimisha Mtanzania ajue Haki na Wajibu wake kama Mtanzania. Hilo litakuwa lengo langu kuu. Najua Mtanzania akielimika kwenye hili, atakuwa kiongozi bora pale atakapopewa majukumu ya kiuongozi, atakuwa mpiga kura bora mwenye uwezo wa kupambanua mambo mbalimbali ya kijamii na kitaifa lakini pia akipigania mawazo yake kwa nguvu zake zote huku vyombo vya kumlinda vikifanya kazi zake kwa uhuru, atakuwa baba na mama bora, atakuwa mtoto na kijana bora mwenye maono na malengo chanya, atakuwa jirani bora, atakuwa polisi bora mwenye kuheshimu haki za raia na kutambua wajibu wa wake na wa raia, atakuwa mfanyabiashara mzalendo anayeheshimu sheria za nchi na kanuni za kazi yake lakini pia anayejua haki zake na kuna vyombo vya kumlinda na kumpigania, nk.

Siendi CCM kuunga mkono juhudi! Naenda huko kumbadilisha Mtanzania, one at a time. Nina mawazo mengi ila nahitaji platform sahihi itakayonisaidia nisikike na mawazo yangu yafanyiwe kazi.

Napeleka siasa mpya ndani ya CCM. Ni matumaini yangu nitapokelewa vizuri!
Kama umeamua nenda. Huhitaji ruhusa ya mtu. Kuhusu elimu, hapo unajidanganya. Mwl J. K. Nyerere alifanya kazi kubwa sana na kutoa maandiko mengi. Hayakufanikiwa kuwatengeneza watanzania wenye DNA uazozitaka. Ukishaingia huko huna haja ya kupata fursa ya kutoa maoni ila utalazimika kufuata uliyoyakuta na utakayoelekezwa. Utafuata maono ya kiongozi was chama. Kanuni no rahisi "If you can't defeat them,join them.
 
Wanawake wamefungamanishwa na kuhongwa, bisha kama una hoja!
Ahongwaye aghalabu hufuata matakwa ya muhongaji na kifo cha mende huhitimisha mchezo.
Kwahyo na wabunge wakiume waliohama chama nao wamekuwa wanawake? Kwanza sie hatuhongwi tunapewa tu.
Hahaaaa hapo kifo cha mende kuhitimisha umenichekesha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo na wabunge wakiume waliohama chama nao wamekuwa wanawake? Kwanza sie hatuhongwi tunapewa tu.
Hahaaaa hapo kifo cha mende kuhitimisha umenichekesha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao mibunge wa kiume wanakuwa Wamejizolea sifa adhimu za wanawake!
Wanawake hushawishiwa kwa vijizawadi ambavyo kiujumla huitwa "hongo"

Maccm ndio hubadilisha magoli mara waite takrima (pale wanaume wanapohusika)
 
Hao mibunge wa kiume wanakuwa Wamejizolea sifa adhimu za wanawake!
Wanawake hushawishiwa kwa vijizawadi ambavyo kiujumla huitwa "hongo"

Maccm ndio hubadilisha magoli mara waite takrima (pale wanaume wanapohusika)
Hii definition ya hongo imeniacha hoi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na uamuzi wako, japo ni uamuzi wa kipuuzi mno kwa binadamu mwenye akili timamu kuufanya, sometimes na wapuuzi nao inabidi waheshimiwe mawazo yao.
 
Back
Top Bottom