GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
HII YOTE UNATAFUTA UKUU WA MKOA ?
 
Huu udaktari kautoa wapi?

UNGESE TU na kujipendekeza. Kawaulize kule kijijini kwenu amewafanyia nn
 
Nimekaa hapa namsikiliza mwalimu aliesoma Ng’ong’ona.
 
Rubbish 😞!!. Aliyekufa alikuwa ni Rais wa tano kwenye ilani ya uchaguzi wa awamu ya tano. Aliyeapishwa baada ya kifo cha John Pombe Magufuli ni Makamu wake Samia Suluhu Hassan, ambaye anakuwa Rais wa sita wa JMT lakini akianza urais wake kwa kumalizia ngwe ya pili ya utawala wa awamu ya tano ambayo inakamilishwa na uchaguzi mkuu wa mwaka huu, October 2025.

Hiyo awamu ya sita 2025-2030/5 unayojaribu kuipamba kwa maua ya waridi ilianza vipi mwaka 2021, wakati ndio inatakiwa kuanza baada ya October mwaka huu?
 
Hii nchi yawezekana ina vichaa wengi kuliko tunaowaona mtaani
Ok nipe utofauti uliopo baada ya ujenzi wa bwawa kukamilika na kabla
Leo hii huku kwetu kila siku tupo gizan
Huko kwenu inatakiwa uhame na uhamie kwako.
 
Kama mnatumia nguvu kuhalalisha uongo kwa nini isitumike nguvu hiyo hiyo kuujibu?
 
Kama mnatumia nguvu kuhalalisha uongo kwa nini isitumike nguvu hiyo hiyo kuujibu?
Twende na facts wananchi wanataka kuona maisha yao yanakua bora zaidi ya jana na si vinginevyo hakuna kiasi cha pesa kinachotosha kununua upendo nakukubalika, ndio mana mna media zote kubwa mna hela hazina nzima lakini mkitaka kuitisha mkutano tu lazima msombelee watu kwa malori hauoni hizo ni red flag zakutokukubalika halafu mshindani wako ambae unasema anasambaza uongo akiitisha mkutano watu wanajaa kumsikiliza despite yakuleta figisu nakutumia excessive power? Tuambie huo uongo kwa hoja haiwezekani wananchi majority wakawa wanakubali mtu muongo kweli?

TAL hahitaji huruma wala Hisani kutoka kwenu anahitaji Haki kwa Taifa ambayo uwepo wake hata masisiemu yatanufaika na vibaraka watanufaika pia mtu unakubalika lakini hautaki uchaguzi huru halafu unauaminisha umma kua unashinda kigalali sasa kwanini usiruhusu mabadiliko ili ukishinda mpinzani wako akose hoja? Woga unatoka wapi? Tunalinda nini? Maslahi ya nani?

No reform No Election
 

..kilichomharibia Samia Suluhu ni kutokutekeleza 4R.

..
 
Tutakuwa hatuna akili kama wewe tukijifanganya kuamini upuuzi ulioandika hapa. Point moja tu, Nani aliweka tozo za simu na baadaye kuzipunguza?
 
Umeanza na namba ya simu, na majina kamili, unadhani serikali itakupa teuzi kwa njia hiyo, fanya kazi kijana, fungua hata biashara ndogo ndogo ili ulee familia, hauwezi Pata teuzi kwa mawazo finyu kama haya
 
Mbona nilisikia mluzi ukipuliza slowly pia alikuwemo
 
Maelezo mareeefu kumbe uharo mtupu, sa100 hana uwezo...short and clear!!!.
 
Isivyo bahati hakuna sheria inayozuia mtu kutumia utambulisho wa shahada ya udaktari kabla ya jina lake ka hiyo inatoa mwanya kwa baadhi ya watu kujikweza kielimu kwa digrii ya heshima pasipo uhalali wowote

Mfano ni maelezo haya hapa chini

Kuna shahada za udaktari wa aina nyingi. Kwa uchache kuna Shahada ya Udaktari wa Binadamu (MD), Shahada ya Udaktari wa Falsafa (PhD), Shahada ya Udaktari wa Sheria (LLD), Shahada ya Udaktari wa Sheria za Kanisa (JCD), Shahada ya Udaktari wa Heshima (Honoris Causa).

Mifano ya shahada hizo inaweza kutofautishwa kwa kuwaangalia watu hawa na shahada walizonazo. Dk. Benson Bagonza (PhD), Dk. Chris Cyrilo (MD), Dk. Wilbroad Slaa (JCD), Dk. Seng’ondo Mvungi (LLD) na Dk. Jakaya Kikwete (Honoris causa).

Hakuna sheria, kanuni au mwongozo unaomzuia mtu mwenye Shahada ya Udaktari ya Heshima kuanza na utambulisho wa ‘Dk’ kabla ya jina lake, japo baadhi hawafanyi hivyo, na wale wanaopata udaktari kwa kusoma, baadhi hawapendi kuona wanaopewa kwa heshima wakitumia utambulisho huo.

Mifano ya waliotunukiwa lakini hawatumii ni pamoja na Bill Clinton ambaye ametunukiwa mara tatu, Mwl. Julius Nyerere alitunukiwa mara 8 na vyuo mbalimbali vyenye hadhi na hivi karibuni mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima na Manchester University, moja ya vyuo vikubwa sana duniani, lakini hajiiti Dk. Rashford.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…