Ighombe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 1,195
- 691
For=four.Wanahitaji ufaulu gani kwa kozi ya cheti kwa mwanafunzi wa form for?
Sent using Jamii Forums mobile app
For=four.Wanahitaji ufaulu gani kwa kozi ya cheti kwa mwanafunzi wa form for?
Je kama mwanafunzi akiwa kapata D kwa hayo masomo ya sayansi akianza kusoma certificate ya miaka 2 anaruhusiwa kuunga kuendelea na diploma kwa huo mwaka 1 ulobaki au hadi apate hzo C za masomo ya sayansi ndo apate sifa ya kusoma diploma vinginevyo ataendelea kuwa wa certificate tu apo vp mkuu?
Je kama mwanafunzi akiwa kapata D kwa hayo masomo ya sayansi akianza kusoma certificate ya miaka 2 anaruhusiwa kuunga kuendelea na diploma kwa huo mwaka 1 ulobaki au hadi apate hzo C za masomo ya sayansi ndo apate sifa ya kusoma diploma vinginevyo ataendelea kuwa wa certificate tu apo vp mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuKama una vigezo vya kusoma Certificate nenda ukasome, hakutakua na haja ya hizo C.