MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 834
- Thread starter
- #21
Una maanisha chama mbadala kwenye uchaguzi?
what is your point, najaribu kuelewa lakini bado sijakupata/
Unashindwa kuelewa nini mkuu? Kwani vyama vyote vinaingia kwenye uchaguzi ili iweje? I fail to understand your confusion. Labda tuanze hivi. Wewe ukisikia the term "chama mbadala" unaelewa nini? Au maana ya mbadala ni nini?