Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Wakuu lazima ifike sehemu tuache porojo na tueleze mambo kisayansi.
Tunaambiwa Milipuko iliyotokea mbagala na sasa gongo la mboto inasababishwa na uchakavu wa mabomu na pia joto kali.
Naomba wakufunzi wa mambo ya milipuko watoe ufafanuzi juu ya haya;
1.mabomu chakavu hupatikana tanzania pekee?
2.je ni joto kiasi gani linahitajika kusababisha milipuko ya mabomu chakavu?
3.wakati milipuko inatokea joto katika maeneo ya Mbagala au gongo la mboto lilikuwa kiasi gani?
4.ni kwa nini hatusikii milipuko ya namna hii kwenye maeneo kama sudan au mali?haya ni maeneo ambayo huripotiwa kuwa na joto kali karibu kila siku(40+ degrees celcious).
5.ni dalili gani hutokea kabla ya kutokea milipuko ya mabomu chakavu?
6.ukweli ni upi?! Je bomu linapochakaa huongeza au hupunguza 'potency' yake?ina maana bomu chakavu lina uwezo mkubwa wa kulipuka kuliko bomu jipya?je hii ina maana wenye mabomu ya zamani kama sisi watanzania wana advantage katika vita?
Wakuu wanaJf tujadili hili suala bila kuingiza siasa.tuongeze maswali ya kiutaalamu kwa wataalamu wetu wa kijeshi...
MUNGU UZILAZE ROHO ZA WAHANGA WA MILIPUKO YA MBAGALA NA GONGO LA MBOTO!!
Tunaambiwa Milipuko iliyotokea mbagala na sasa gongo la mboto inasababishwa na uchakavu wa mabomu na pia joto kali.
Naomba wakufunzi wa mambo ya milipuko watoe ufafanuzi juu ya haya;
1.mabomu chakavu hupatikana tanzania pekee?
2.je ni joto kiasi gani linahitajika kusababisha milipuko ya mabomu chakavu?
3.wakati milipuko inatokea joto katika maeneo ya Mbagala au gongo la mboto lilikuwa kiasi gani?
4.ni kwa nini hatusikii milipuko ya namna hii kwenye maeneo kama sudan au mali?haya ni maeneo ambayo huripotiwa kuwa na joto kali karibu kila siku(40+ degrees celcious).
5.ni dalili gani hutokea kabla ya kutokea milipuko ya mabomu chakavu?
6.ukweli ni upi?! Je bomu linapochakaa huongeza au hupunguza 'potency' yake?ina maana bomu chakavu lina uwezo mkubwa wa kulipuka kuliko bomu jipya?je hii ina maana wenye mabomu ya zamani kama sisi watanzania wana advantage katika vita?
Wakuu wanaJf tujadili hili suala bila kuingiza siasa.tuongeze maswali ya kiutaalamu kwa wataalamu wetu wa kijeshi...
MUNGU UZILAZE ROHO ZA WAHANGA WA MILIPUKO YA MBAGALA NA GONGO LA MBOTO!!