sangujoseph
Senior Member
- Nov 30, 2015
- 164
- 184
.
By Sangu Joseph
.
Kwenye Uchambuzi wangu nimeeleza huenda Alikiba akashushwa kimuziki na Konde Boy Harmonize, Kwa sababu Tu wanaomsupport Kiba ndiyo haohao wanaomsapoti Konde Boy.
Kitakachokuja kutokea ni kugawana wadau na Konde atakua nso wengi zaidi Kwa sababu yeye anaproject nyingi Sana, kuliko Kiba, Anakolabo kama zote. na Msanii wake Ibraah TZ anampa promo la Hatari Sana.
.
Kwanini nasema watagwana nikupe Mfano, Radio A wanapiga Ngoma za Kiba na Konde lakini hawampigi Chibu hivyo anayesikiliza Radio A atachagua amshabikie Kiba au Konde Kwa sababu Mondi hayupo kwenye Choice
By Sangu Joseph
.
Kwenye Uchambuzi wangu nimeeleza huenda Alikiba akashushwa kimuziki na Konde Boy Harmonize, Kwa sababu Tu wanaomsupport Kiba ndiyo haohao wanaomsapoti Konde Boy.
Kitakachokuja kutokea ni kugawana wadau na Konde atakua nso wengi zaidi Kwa sababu yeye anaproject nyingi Sana, kuliko Kiba, Anakolabo kama zote. na Msanii wake Ibraah TZ anampa promo la Hatari Sana.
.
Kwanini nasema watagwana nikupe Mfano, Radio A wanapiga Ngoma za Kiba na Konde lakini hawampigi Chibu hivyo anayesikiliza Radio A atachagua amshabikie Kiba au Konde Kwa sababu Mondi hayupo kwenye Choice