sikumbuki mara ya mwisho walitangaza lini makusanyo ya kujisifia..Raisi alisema kuna watu anataka waishi kama MASHETANI.
..Sasa kuna namna nzuri ya kufanya wafanyabiashara waishi kama mashetani zaidi ya kuwatoza kodi kubwa na kuwapiga faini kikatili?
..Kwa maoni yangu Tra walikuwa wanatekeleza kauli ya Raisi. Ni bahati mbaya kwamba amekuja kuwageuka lakini for the last three years alikuwa akiwasifia.