Sababu ya mambo kubaki 'Kama kawaida' pamoja na teua/tengua, maelekezo, maelezo na 'mikwara' ya Rais Magufuli

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,800
Kila kiumbe hujitofautisha kwa sifa zake. Vipo vunavyofahamika na kujitanabaisha kwa kutaga mayai, kuzaa, kuruka, kutambaa, kutembea na kadhalika. Sifa hutofautisha.

Alipoingia madarakani Rais Magufuli, wananchi na wasaidizi/wateule wake walikuwa wakisubiri Rais ajitanabaishe. Sasa wameshamjua. Wanafuata kadiri atakavyo.

Wanamjua kuwa anapenda YEYE NA NI YEYE TU ABUNI JAMBO. Wao wanasubiri ubunifu wake. Wanamjua kuwa HACHELEWI KUKUGEUKA UKITHUBUTU KUBUNI AU KUAMUA. wasaidizi wanamngoja aseme wafanye nini.

Wasaidizi HAWAJUI KINACHOMFURAHISHA WALA KINACHOMKWAZA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAO. Wanamsubiri atoe maelekezo. Wanamsubiri kila wakati aseme. Ndiyo maana makongamano hayaishi.

Wasaidizi wanamjua KUWA HASHINDWI GHAFLA NA TENA HADHARANI KUKUPANDISHA CHEO, KUKUTUMBUA/KUKUTEUA,KUKUSHUSHA AU HATA KUSEMA KWANINI AMEFANYA HIVYO. Daima wanasubiri muongozo.

Kutokana na hayo, wakubadilisha Ni YEYE. Aruhusu wasaidizi wake wabuni, waamue, waseme na watende bila kusubiri maelekezo. Wasaidizi wataenendelea kumsikiliza, kuandika maagizo na kuendelea na 'kawaida' iliyopo.

Dawa Ni kutoka kwa muundaji mwenyewe!

Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kilosa, Morogoro)
 
Naweza kusema kuwa bado tu hawajamjua anataka nini, Rais anataka kiongozi mzarendo na aliyejikana kwa masrahi mapana ya taifa na si mtu anayewaza masrahi yake huku akijua yeye ni kiongozi wa umma

Kuwa kiongozi wa umma ni kujitoa kwa ajili ya wananchi na si kuwaza utakuwa umemiliki nini baada ya kustaafu au kumaliza muda wako wa uongozi.

Kuwa kiongozi si kupata fursa ya kukufanya uwe tajili baali uwe daraja la kuwavusha wananchi na taifa kwa ujumla kufikia malengo.
 
Naweza kusema kuwa bado tu hawajamjua anataka nini, Rais anataka kiongozi mzarendo na aliyejikana kwa masrahi mapana ya taifa na si mtu anayewaza masrahi yake huku akijua yeye ni kiongozi wa umma

Kuwa kiongozi wa umma ni kujitoa kwa ajili ya wananchi na si kuwaza utakuwa umemiliki nini baada ya kustaafu au kumaliza muda wako wa uongozi.

Kuwa kiongozi si kupata fursa ya kukufanya uwe tajili baali uwe daraja la kuwavusha wananchi na taifa kwa ujumla kufikia malengo.

Aisee nenda hata ngumbaru ukajifunze Kiswahili fasaha
Mzalendo na sio mzarendo.

Maslahi na sio masrahi.

Tajiri na sio tajili.
 
Serikalini na hasa ndani ya baraza LA mawaziri kumekuwa kama klabu ya dengerua au mnazi, mununuaji ndio wa pombe ndiye mwenyekiti wa mijadala yote. Hata akisema kalenda ya mwaka huu kuna miezi 15 badala ya 12 mnatakiwa kuunga mkono hoja hiyo. Ndivyo walivyo dhidi ya mteuzi
 
..Raisi alisema kuna watu anataka waishi kama MASHETANI.

..Sasa kuna namna nzuri ya kufanya wafanyabiashara waishi kama mashetani zaidi ya kuwatoza kodi kubwa na kuwapiga faini kikatili?

..Kwa maoni yangu Tra walikuwa wanatekeleza kauli ya Raisi. Ni bahati mbaya kwamba amekuja kuwageuka lakini for the last three years alikuwa akiwasifia.
 
Naweza kusema kuwa bado tu hawajamjua anataka nini, Rais anataka kiongozi mzarendo na aliyejikana kwa masrahi mapana ya taifa na si mtu anayewaza masrahi yake huku akijua yeye ni kiongozi wa umma

Kuwa kiongozi wa umma ni kujitoa kwa ajili ya wananchi na si kuwaza utakuwa umemiliki nini baada ya kustaafu au kumaliza muda wako wa uongozi.

Kuwa kiongozi si kupata fursa ya kukufanya uwe tajili baali uwe daraja la kuwavusha wananchi na taifa kwa ujumla kufikia malengo.
Unapojenga jengo kubwa la TRA kwenye makusanyo madogo ya kodi si maslahi ya eneo lako?

Unapojenga uwanja wa ndege ambao hakutatua ndege "YA MAANA" si maslahi ya eneo utokalo?

By the way, HATA TAA ZA BARABARANI zilizojengwa enzi za uwazili, haina tofauti na hayo hapo juu
 
..Raisi alisema kuna watu anataka waishi kama MASHETANI.

..Sasa kuna namna nzuri ya kufanya wafanyabiashara waishi kama mashetani zaidi ya kuwatoza kodi kubwa na kuwapiga faini kikatili?

..Kwa maoni yangu Tra walikuwa wanatekeleza kauli ya Raisi. Ni bahati mbaya kwamba amekuja kuwageuka lakini for the last three years alikuwa akiwasifia.
Walikuwa wanakusanya madeni aliyoyaacha JK... akaonekana anakusanya kodi haswa..... SASA MADENI YAMEISHA.... wakawakamua wafanya biashara, wakawa hawana namna zaidi ya kufunga BIASHARA.....
 
Tatizo haliko kwa wanaoteuliwa na kutanguliwa, bali anaye teua na kutangua.
Ni kweli... LEO UKIMTENGUA ULIYEMTEUA JANA, unachofanya ni kutuonyesha HOW MUCH jana ulikosea.... na watenguliwaji wanapozidi kuwa wengi, unatuonyesha umekosea mara ngapi na ukubwa makosa upoje....

SI kila aliyetenguliwa alikosea, wengine walikuwa wanatekereza maagizo yake, lakini alipoona yanaleta NEGATIVE IMPACT akaamua kuwatoa SADAKA YA KUTENGULIWA
 
Juz badala Ampongeze Msaidiz wake kwa kufanikisha Marufuku ya mifuko ya plastiki kwa ustadi mkubwa.....
Akaanza kujisifia kua alitoa maelekezo tangu mwaka jana tena akalaumu na kukosoa kua wizara wamechelewa sana....!
 
Kila kiumbe hujitofautisha kwa sifa zake. Vipo vunavyofahamika na kujitanabaisha kwa kutaga mayai, kuzaa, kuruka, kutambaa, kutembea na kadhalika. Sifa hutofautisha.

Alipoingia madarakani Rais Magufuli, wananchi na wasaidizi/wateule wake walikuwa wakisubiri Rais ajitanabaishe. Sasa wameshamjua. Wanafuata kadiri atakavyo.

Wanamjua kuwa anapenda YEYE NA NI YEYE TU ABUNI JAMBO. Wao wanasubiri ubunifu wake. Wanamjua kuwa HACHELEWI KUKUGEUKA UKITHUBUTU KUBUNI AU KUAMUA. wasaidizi wanamngoja aseme wafanye nini.

Wasaidizi HAWAJUI KINACHOMFURAHISHA WALA KINACHOMKWAZA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAO. Wanamsubiri atoe maelekezo. Wanamsubiri kila wakati aseme. Ndiyo maana makongamano hayaishi.

Wasaidizi wanamjua KUWA HASHINDWI GHAFLA NA TENA HADHARANI KUKUPANDISHA CHEO, KUKUTUMBUA/KUKUTEUA,KUKUSHUSHA AU HATA KUSEMA KWANINI AMEFANYA HIVYO. Daima wanasubiri muongozo.

Kutokana na hayo, wakubadilisha Ni YEYE. Aruhusu wasaidizi wake wabuni, waamue, waseme na watende bila kusubiri maelekezo. Wasaidizi wataenendelea kumsikiliza, kuandika maagizo na kuendelea na 'kawaida' iliyopo.

Dawa Ni kutoka kwa muundaji mwenyewe!

Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kilosa, Morogoro)
Mzee tupatupa ulipoteaa kidogoo, nikajua nawe tayari ushakatwa mkia. Teheteheee
 
Naweza kusema kuwa bado tu hawajamjua anataka nini, Rais anataka kiongozi mzarendo na aliyejikana kwa masrahi mapana ya taifa na si mtu anayewaza masrahi yake huku akijua yeye ni kiongozi wa umma

Kuwa kiongozi wa umma ni kujitoa kwa ajili ya wananchi na si kuwaza utakuwa umemiliki nini baada ya kustaafu au kumaliza muda wako wa uongozi.

Kuwa kiongozi si kupata fursa ya kukufanya uwe tajili baali uwe daraja la kuwavusha wananchi na taifa kwa ujumla kufikia malengo.
Urudi shule na wewe kwanza inaonekana kuna kipindi ulikimbia shule hasa kwenye kujifunza R na L
 
Kila kiumbe hujitofautisha kwa sifa zake. Vipo vunavyofahamika na kujitanabaisha kwa kutaga mayai, kuzaa, kuruka, kutambaa, kutembea na kadhalika. Sifa hutofautisha.

Alipoingia madarakani Rais Magufuli, wananchi na wasaidizi/wateule wake walikuwa wakisubiri Rais ajitanabaishe. Sasa wameshamjua. Wanafuata kadiri atakavyo.

Wanamjua kuwa anapenda YEYE NA NI YEYE TU ABUNI JAMBO. Wao wanasubiri ubunifu wake. Wanamjua kuwa HACHELEWI KUKUGEUKA UKITHUBUTU KUBUNI AU KUAMUA. wasaidizi wanamngoja aseme wafanye nini.

Wasaidizi HAWAJUI KINACHOMFURAHISHA WALA KINACHOMKWAZA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAO. Wanamsubiri atoe maelekezo. Wanamsubiri kila wakati aseme. Ndiyo maana makongamano hayaishi.

Wasaidizi wanamjua KUWA HASHINDWI GHAFLA NA TENA HADHARANI KUKUPANDISHA CHEO, KUKUTUMBUA/KUKUTEUA,KUKUSHUSHA AU HATA KUSEMA KWANINI AMEFANYA HIVYO. Daima wanasubiri muongozo.

Kutokana na hayo, wakubadilisha Ni YEYE. Aruhusu wasaidizi wake wabuni, waamue, waseme na watende bila kusubiri maelekezo. Wasaidizi wataenendelea kumsikiliza, kuandika maagizo na kuendelea na 'kawaida' iliyopo.

Dawa Ni kutoka kwa muundaji mwenyewe!

Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kilosa, Morogoro)
MKUU TUPATUPA MZEE WA EXPANSION JPINTS UPO KIMYAA SANA ULIPATWA NA NINI??
 
47 Reactions
Reply
Back
Top Bottom