Sababu ya kuwa na michepuko

Sababu ya kuwa na michepuko

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
39,733
Reaction score
61,257
Tunawapenda sana wake zetu na tunawajali,na haitatokea kuachana nao sababu ya michepuko.Tunawatafuta nyie kwa sababu bi mkubwa anakuwa ameelemewa na majukumu inakuwa ngumu kuhimili nguvu za me.Michepuko mpo kwa ajili ya kula bata tu na mashine,na msijaribu kufanya mapinduzi kwa bi mkubwa.
 
mwanaume kuwa na mchepuko ni sawa na nchi kuwa na chama cha upinzani.



mwanamke kuwa na mchepuko ni sawa na nchi kuwa na waasi.


kumbuka ukiwa na mke anayekusumbu unafanya kama polisi wanavyofanywa.... kuhamishiwa makao makuu.... nae unamandisha cheo na kuwa mke mkubwa, mchepuko unaupa cheo cha mke mdogo na wakati huo huo unasajiri mchepuko mwingine.


hiyo ndo asili ya wanaume. rejea inapatikana kwenye bible akina sulemani na washiriki wake wote.


house girl ni msaidizi wa mke?
sio mke msaidizi, ila msaidizi wa mke. h aha ha . unaweza kumla wakati mkeo hayupo, akiwepo unamwacha.
 
mwanaume kuwa na mchepuko ni sawa na nchi kuwa na chama cha upinzani.



mwanamke kuwa na mchepuko ni sawa na nchi kuwa na waasi.


kumbuka ukiwa na mke anayekusumbu unafanya kama polisi wanavyofanywa.... kuhamishiwa makao makuu.... nae unamandisha cheo na kuwa mke mkubwa, mchepuko unaupa cheo cha mke mdogo na wakati huo huo unasajiri mchepuko mwingine.


hiyo ndo asili ya wanaume. rejea inapatikana kwenye bible akina sulemani na washiriki wake wote.


house girl ni msaidizi wa mke?
sio mke msaidizi, ila msaidizi wa mke. h aha ha . unaweza kumla wakati mkeo hayupo, akiwepo unamwacha.
ha ha ha ha mkuu nimejikuta nacheka sana....
 
Jifanyenyi mnajua kuchepuka harafu ukute huyo mchepuko wako ni make wa MTU sasa ndio uendelee kijidanganya ukichepuka na mkeo anachepuka vile vile life INA go on
 
Jifanyenyi mnajua kuchepuka harafu ukute huyo mchepuko wako ni make wa MTU sasa ndio uendelee kijidanganya ukichepuka na mkeo anachepuka vile vile life INA go on
ha ha ha ha....mkuu unashauri nini kifanyike?
 
ha ha ha ha....mkuu unashauri nini kifanyike?
Yaani hapa kila MTU aamue moja kama anaitaka mbingu au laa! Kama unaitaka mbingu baki na wali na tumaharage twako uendelee kujitafunia ndani kwako ila kama mbingu huitaki tafuna radha tofauti tofauti za dunia
 
Yaani hapa kila MTU aamue moja kama anaitaka mbingu au laa! Kama unaitaka mbingu baki na wali na tumaharage twako uendelee kujitafunia ndani kwako ila kama mbingu huitaki tafuna radha tofauti tofauti za dunia
ha ha ha ha,tatizo linakuja wewe unataka uende saba,yeye anata uishie mbili
 
[emoji23][emoji23][emoji23]tens una bahati eti uishie mbili kamoja tu kanatosha bana mambo yakutumika sana sio poa
ha ha ha ha ngoja sisi tuendelee kutafuta pa kupunguzia hizo zingine
 
Mnachosha bwana na sisi tunachepuka vile vile yawezekana hata tulisnza kabla yenu
ha ha ha ha sasa kama wewe unavumilia kimoja tu ukiwa ndani,huko mnakoenda nje mtaweza kupokea saba?
 
Back
Top Bottom