YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,906
- 51,909
Sababu ya jeshi la Marekani bendera na nembo zao kuwa na picha ya ndege mbabe Tai
Tai ni ndege mwenye nguvu na uwezo mkubwa wa kuona vitu vikivyo chini kutokea Angani
Ardhini kuna wababe kama simba na Tembo na watu wababe
Majini kuna Nyangumi.
Marekani kuanzia mwaka 1700 waliamua Jeshi lao kuwa la kifalme angani Wakaanza kujizatiti barabara kujenga Jeshi la anga.
Ukigombana na mmarekani haanzii ardhini wala kwenye maji ataanza kukutwanga kutokea angani ana mindege ya kivita ya hatari mingine hata.mchana huwezi ona ili kombora utakiona likitua kwako
Akishakupiga barabara chini kutokea angani ndio anaanza kukushambulia aridhini kwa makombora ya kutokea nchi kavu na majini ya masafa marefu ,huku ndege zake za kivita zikiwinda ndege za adui popote zilipo angani na kuzishambulia huko huko angani.Yaani ndege na ndege huku kwa chini aridhini askari wakiwa nao na mikombora ya kutungua ndege angani wakilenga ndege ya adui angani
Kwa hiyo ndege za adui hushambuliwa huko huko angani na pia na wavurumusha mikombora walioko ardhini
Mmarekani akiingia vita mahali cha kwanza ni kukamata anga ili kuwa na air space superiority
Ukraine mfano Jeshi la Marekani baada ya kupeleka msaada wa kivita wa anga ukraine ndege za vita za Urusi zimeufyata haziruki kushambulia Ukraine sababu wanajua ndio mwisho wao
Upande wa vita angani Ukraine imelikamata anga kwa msaada wa Marekani.Ukraine ins air space superiority kivita
Ushindi wa kwanza kwa Ukraine ni kukamata anga .
Tai ni ndege mwenye nguvu na uwezo mkubwa wa kuona vitu vikivyo chini kutokea Angani
Ardhini kuna wababe kama simba na Tembo na watu wababe
Majini kuna Nyangumi.
Marekani kuanzia mwaka 1700 waliamua Jeshi lao kuwa la kifalme angani Wakaanza kujizatiti barabara kujenga Jeshi la anga.
Ukigombana na mmarekani haanzii ardhini wala kwenye maji ataanza kukutwanga kutokea angani ana mindege ya kivita ya hatari mingine hata.mchana huwezi ona ili kombora utakiona likitua kwako
Akishakupiga barabara chini kutokea angani ndio anaanza kukushambulia aridhini kwa makombora ya kutokea nchi kavu na majini ya masafa marefu ,huku ndege zake za kivita zikiwinda ndege za adui popote zilipo angani na kuzishambulia huko huko angani.Yaani ndege na ndege huku kwa chini aridhini askari wakiwa nao na mikombora ya kutungua ndege angani wakilenga ndege ya adui angani
Kwa hiyo ndege za adui hushambuliwa huko huko angani na pia na wavurumusha mikombora walioko ardhini
Mmarekani akiingia vita mahali cha kwanza ni kukamata anga ili kuwa na air space superiority
Ukraine mfano Jeshi la Marekani baada ya kupeleka msaada wa kivita wa anga ukraine ndege za vita za Urusi zimeufyata haziruki kushambulia Ukraine sababu wanajua ndio mwisho wao
Upande wa vita angani Ukraine imelikamata anga kwa msaada wa Marekani.Ukraine ins air space superiority kivita
Ushindi wa kwanza kwa Ukraine ni kukamata anga .