Sababu top 10 zitakazoua UKAWA

Sababu top 10 zitakazoua UKAWA

Mkuu Hongoli umenena vyema, big up sana. Huu uzi umetulia sana. Sina cha kuongezea.

Ongezea hiki : ccm sasa hv Nape kawapelekea Bajeti yake ili wampe pesa za kuwanunua Ukawa na kuwavuruka, kuwachonganisha mpaka umoja wao uvunjike ili iwe rahisi kumnadi Magufuli kwani Nape anajua Magufuli ana kazi kubwa kutokana Ukawa kujipanga kumkabili kisawasawa .
 
Sehemu Kama hizo ndipo Nape hupata Fursa ya kupiga Pesa za ccm hutumia fursa kupenyeza fitna kwa kuwanunua watu Kwa kiwango cha chini kuliko kile kiasi cha pesa alichopewa hupiga Panga ingawa kinana anajua lakini kaamua kuuchuna, Nape sasa ni kipindi chake cha kupiga pesa Kwa kisingizio kuwakoroga Ukawa.
 
Ukawa ni wapigaji tu na kuburuzana ..CDM inafanya ulaghai mkubwa sana kwa kutumia Ukawa ili kujijenga yenyewe
 
Back
Top Bottom