Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,014
- 95,368
Yaani ni vile tu tunaogopa kukufuru... ila samtaimz mtu huwa unajiuliza kwanini wababa wengine hawakutumia condom?Assalam aleykhum,
Jana nilitoa prediction kati ya Simba na Al Merekh ambayo ilitimia kwa 56%. Leo Yanga Timu ya wananchi wataibuka na ushindi kwa sababu hizi;
- Yanga wana presha ya kubeba ubingwa hivyo wachezaji wana morali na mood ya hali ya juu
- Mechi iliyopita Wananchi walipoteza hivyo hawana huo ujinga wa kupoteza tena.
- Mechi hii ina athari kwa Cedric Kaze hivyo sio rahisi kwake akubali apoteze tenaaa.
Ft: Timu ya Wanachi 2 vs polisi 0
# Magema Jr
SportsFire