Sababu nyingine ya UKAWA kushindwa

Sababu nyingine ya UKAWA kushindwa

Wasukuma peke yao ni zaidi ya makabila ya Kaskazini yote, isitoshe kuna mpasuko wa wazi kabisa katika uchaguzi huu. Slaa yuko wapi? Ukijuwa jibu ya swali hilo ujuwe kuna u R na u L.

Ma L yamemtupa nje akipenda asipende m R mmoja aliyekuwa agombee Urais. Unafikiri ma R wote waliobaki watakubali?

Ukawa inabwagwa kiulaini kabisa, bila ya jasho.

Usije ukafikiri wasukuma wa kipindi kile ndio wa sasa labda ni wewe tu usiebadilika
 
Ukawa wana 40% ya kura za uraisi hawawezi kuzidi hapo....take my words tena wakifanya kampeni za kufa na kupona.
 
Back
Top Bottom