Sababu nyingine ya UKAWA kushindwa

Sababu nyingine ya UKAWA kushindwa

illmatic88

Member
Joined
May 16, 2015
Posts
30
Reaction score
27
Ukiachana na masuala ya goli la mkono na mengineyo... bado kimahesabu Ukawa wanaonekana watashindwa hasahasa eneo la Bara(Urais)

Heb tuangalie influence ya Ukawa yote V CCM katika mikoa mbalimbali...(Urais)

Arusha..... Hapa Ukawa wana chance ya kushinda by 80% of all total votes ... Huku 20% ikienda CCM..

Dodoma.. CCM wana chance ya kushinda 85% ya kura zote

Kilimanjaro.... Ukawa wana chance ya Kushinda 70% of all votes

Singida.. CCM wana chance ya Kushinda 85% of all votes

Morogoro ... Ccm wana chance ya kushinda 75% of all votes

Tabora.... Ccm wana chance ya kushinda zaidi ya asilimia 90 ya kura zote kihalali..

Manyara... ukawa wana chance ya kuchukua asilimia 80 ya kura zote..

Shinyanga... Ccm wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asiimia 70 ya kura zote... Kihalali kabisa

Kagera ... Ccm wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote

Mwanza.. ukawa wana nafasi ya kuchukua si zaidi ya asilimia 55...

Iringa... CCM wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote kihalali...

Tanga... CCM wana uhakika wa kuchukua zaidi ya asilimia 80 ya kura zote

Mbeya.. CCM wana uhakika wa kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote..

Kigoma ... CCM wana uhakika wa Kuchukua zaidi ya Asilimia 65 ya kura zote....

Kwa sample hii ndogo... Inaonyesha kuwa CCM wana influence sehemu kubwa ya Tz kushinda UKAWA ambao wana nguvu mikoa michache tuu...
 
Pole sana,haya nenda kamwambie Nape kuwa ushafikisha takwimu uchwara alizokupa uzilete hapa then akupe buku7 yako.
 
Ukiachana na masuala ya goli la mkono na mengineyo... bado kimahesabu Ukawa wanaonekana watashindwa hasahasa eneo la Bara(Urais)

Heb tuangalie influence ya Ukawa yote V CCM katika mikoa mbalimbali...(Urais)

Arusha..... Hapa Ukawa wana chance ya kushinda by 80% of all total votes ... Huku 20% ikienda CCM..

Dodoma.. CCM wana chance ya kushinda 85% ya kura zote

Kilimanjaro.... Ukawa wana chance ya Kushinda 70% of all votes

Singida.. CCM wana chance ya Kushinda 85% of all votes

Morogoro ... Ccm wana chance ya kushinda 75% of all votes

Tabora.... Ccm wana chance ya kushinda zaidi ya asilimia 90 ya kura zote kihalali..

Manyara... ukawa wana chance ya kuchukua asilimia 80 ya kura zote..

Shinyanga... Ccm wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asiimia 70 ya kura zote... Kihalali kabisa

Kagera ... Ccm wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote

Mwanza.. ukawa wana nafasi ya kuchukua si zaidi ya asilimia 55...

Iringa... CCM wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote kihalali...

Tanga... CCM wana uhakika wa kuchukua zaidi ya asilimia 80 ya kura zote

Mbeya.. CCM wana uhakika wa kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote..

Kigoma ... CCM wana uhakika wa Kuchukua zaidi ya Asilimia 65 ya kura zote....

Kwa sample hii ndogo... Inaonyesha kuwa CCM wana influence sehemu kubwa ya Tz kushinda UKAWA ambao wana nguvu mikoa michache tuu...







Naona unajamba huku umejifunika shuka
 
Hzo takwimu zmetolewa na shirika gan la maswala ya kuratibu na kufanya uchunguz wa kisisa. Source tunaomba. Evdnce
 
Dar CCM 75%, UKAWA 25!!
Usiangalie wale waliosombwa na malori kutoka mkoani.
 
takwimu zako haziwz ktokea....kafanye research alaf urud tena labda tutakuelewa
 
Dar CCM 75%, UKAWA 25!!
Usiangalie wale waliosombwa na malori kutoka mkoani.

Teh teh teh,naona bado mnaweweseka sana kwa Gharika ya jana. Sasa bado Mwanza,Mbeya na Arusha mpaka muombe poo mwaka huu.
 
Ukiachana na masuala ya goli la mkono na mengineyo... bado kimahesabu Ukawa wanaonekana watashindwa hasahasa eneo la Bara(Urais)

Heb tuangalie influence ya Ukawa yote V CCM katika mikoa mbalimbali...(Urais)

Arusha..... Hapa Ukawa wana chance ya kushinda by 80% of all total votes ... Huku 20% ikienda CCM..

Dodoma.. CCM wana chance ya kushinda 85% ya kura zote

Kilimanjaro.... Ukawa wana chance ya Kushinda 70% of all votes

Singida.. CCM wana chance ya Kushinda 85% of all votes

Morogoro ... Ccm wana chance ya kushinda 75% of all votes

Tabora.... Ccm wana chance ya kushinda zaidi ya asilimia 90 ya kura zote kihalali..

Manyara... ukawa wana chance ya kuchukua asilimia 80 ya kura zote..

Shinyanga... Ccm wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asiimia 70 ya kura zote... Kihalali kabisa

Kagera ... Ccm wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote

Mwanza.. ukawa wana nafasi ya kuchukua si zaidi ya asilimia 55...

Iringa... CCM wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote kihalali...

Tanga... CCM wana uhakika wa kuchukua zaidi ya asilimia 80 ya kura zote

Mbeya.. CCM wana uhakika wa kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote..

Kigoma ... CCM wana uhakika wa Kuchukua zaidi ya Asilimia 65 ya kura zote....

Kwa sample hii ndogo... Inaonyesha kuwa CCM wana influence sehemu kubwa ya Tz kushinda UKAWA ambao wana nguvu mikoa michache tuu...
,

source pls, au umeoteshwa
 
kweli ccm wameshikwa pabaya, wanahaha usiku na mchana
 
Wewe natafuta zuri la kukuita sioni ccm washinde mbeya na mwanza? Acha kuweweseka bwana kanda ya ziwa kufuli haona kitu mbeya tena we umetumwa au? Waambie maboss wako haya maeneo magifuli ataachiwa manyoya hana kitu huku. Na mbeya? Acha masihala basi
 
Pamoja na masuala ya goli la mkono na mengineyo... bado kimahesabu Ukawa wanaonekana watashinda maeneo yote, Bara na visiwani(Urais)

Heb tuangalie influence ya Ukawa yote V CCM katika mikoa mbalimbali...(Urais)

Arusha..... Hapa Ukawa wana chance ya kushinda by 95% of all total votes ... Huku 20% ikienda CCM..

Dodoma.. CCM wana chance ya kushinda 50% ya kura zote

Kilimanjaro.... Ukawa wana chance ya Kushinda 90% of all votes

Singida.. CCM wana chance ya Kushinda 49% of all votes

Morogoro ... Ccm wana chance ya kushinda 35% of all votes

Tabora.... Ccm wana chance ya kushinda zaidi ya asilimia 46% ya kura zote kihalali..

Manyara... ukawa wana chance ya kuchukua asilimia 90% ya kura zote..

Shinyanga... Ccm wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asiimia 40% ya kura zote... Kihalali kabisa

Kagera ... Ccm wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asilimia 50% ya kura zote

Mwanza.. ukawa wana nafasi ya kuchukua si zaidi ya asilimia 40%...

Iringa... CCM wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asilimia 30% ya kura zote kihalali...

Tanga... CCM wana uhakika wa kuchukua zaidi ya asilimia 50% ya kura zote

Mbeya.. CCM wana uhakika wa kuchukua zaidi ya asilimia 25% ya kura zote..

Kigoma ... CCM wana uhakika wa Kuchukua zaidi ya Asilimia 40% ya kura zote....

Kwa sample hii ndogo... Inaonyesha kuwa CCM wana influence kidooogo mno sehemu kubwa ya Tz kushinda UKAWA ambao wana nguvu mikoa karibu yote...


Ukiachana na masuala ya goli la mkono na mengineyo... bado kimahesabu Ukawa wanaonekana watashindwa hasahasa eneo la Bara(Urais)

Heb tuangalie influence ya Ukawa yote V CCM katika mikoa mbalimbali...(Urais)

Arusha..... Hapa Ukawa wana chance ya kushinda by 80% of all total votes ... Huku 20% ikienda CCM..

Dodoma.. CCM wana chance ya kushinda 85% ya kura zote

Kilimanjaro.... Ukawa wana chance ya Kushinda 70% of all votes

Singida.. CCM wana chance ya Kushinda 85% of all votes

Morogoro ... Ccm wana chance ya kushinda 75% of all votes

Tabora.... Ccm wana chance ya kushinda zaidi ya asilimia 90 ya kura zote kihalali..

Manyara... ukawa wana chance ya kuchukua asilimia 80 ya kura zote..

Shinyanga... Ccm wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asiimia 70 ya kura zote... Kihalali kabisa

Kagera ... Ccm wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote

Mwanza.. ukawa wana nafasi ya kuchukua si zaidi ya asilimia 55...

Iringa... CCM wana nafasi ya kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote kihalali...

Tanga... CCM wana uhakika wa kuchukua zaidi ya asilimia 80 ya kura zote

Mbeya.. CCM wana uhakika wa kuchukua zaidi ya asilimia 60 ya kura zote..

Kigoma ... CCM wana uhakika wa Kuchukua zaidi ya Asilimia 65 ya kura zote....

Kwa sample hii ndogo... Inaonyesha kuwa CCM wana influence sehemu kubwa ya Tz kushinda UKAWA ambao wana nguvu mikoa michache tuu...
 
ukawa Mwanza co kwa asilimia hizo naona unatumia historia co hali halisi ya mwaka huu
 
Ushabiki wa siasa mnafanya kama wa simba na yanga, badala ya kuchuk
ua kama changamoto na kufanyia kazi, mnambeza mleta mada, wakati mikoa hiyo ndiyo yenye watu wengi wa CCM mnadhani huko mikoani watu wote wana TV au wanamuda wa kukaa labda radio kidogo. Jamii forums wanaopita huko ni asilimia moja tu, hata hapa mjini wanaopita hapa ni wachache. Ni ushauri tu mimi mpaka saizi ni wale tunapsubiri kampeni, kwa maana siku upande wowote na kampe zipo kwa ajili yetu.
 
Back
Top Bottom