Sababu kwanini kiapo cha ndoa za kikristo ni haramu katika ulimwengu wa roho

Ndoa ni mapatano, kupatana ni kukubaliana hata wakiondoa sentensi ya shida na raha haina,,kwangu mimi sijaona ugumu wa neno hilo, matatizo yanayozikumba ndoa ni yaleyale hayana utofauti kwani sources ni mmonyoko wa maadili, kwani ni wakristo pekee hawana maadili, wao wamejaribu kuweka wazi ili uingie unajua kabisa nje ya raha pia kuna shida.
 
Write your reply...Mungu /shetani ....raha/shida ...kichwa/miguu ...halafu mtoa post hii tabia ya kumnsibisha shetani na shida umeitoa wapi
 
Sio wewe unaekili biblia yenyewe imesema kuna majira ya kulia nakucheka,., kwahiyo yeye ambaye hakuweka kiapo,ndo magonjwa yakija yanapita kwa jirani,kufilisika kukija kunapita kwa jirani,na masumbufu yote yanaisha yanapita kwa jirani?
Mtoa mada ana point ya msingi sana! Kwa nini tukiri uwepo wa nyakati za shida? Mungu tuondolee shida katika ndoa zetu kwa jina la Yesu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUSIVAE MIWANI YA MBAO,...DUNIANI HAPA,SHIDA NA RAHA NI SEHEMU YA MAISHA,NDO MAANA HATA mtoa post ataugua,aweza kufilisika,aweza kupata ulemavu,aweza kukosa watoto,,,na si wakati wote shetani ndo chanzo mala nyingi MUNGU anaruhusu hayo,..akajifunze kwa ayubu!.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada Ana hoja Fulani.Kiapo sahihi kwa ufupi inatakiwa kiwe nitakuwa na wewe wakati wote sitakuacha Ni kifo tu kitatutenganisha
 
Unatafuta comments

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watumie kiapo cha Waislamu. Na si kiapo bali ni masharti . Masharti yenyewe ni
1. Kuishi kwa wema na ihsani.
2. Ikibidi kuachana muachane kwa salama na Amani.
Full stop. Hakuna mambo ya shida wala kutenganishwa na kifo. Hapa ndo utajua uislam uko kamili.
 
Ukamili wake ni nini kwenye hicho kiapo mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu aliyetunga maneno hayo tumshitaki akakae lupango maana hana maana ndiyo chanzo cha shida nyingi za ndoa hapa duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…